B Baba Collins JF-Expert Member Sep 24, 2011 502 106 Jan 27, 2012 #2 Watu wa makanisa lazima waseme hapana kwa watu wenye tabia kama hizi,kutafuta uongozi kupitia makanisa si jambo zuri.
Watu wa makanisa lazima waseme hapana kwa watu wenye tabia kama hizi,kutafuta uongozi kupitia makanisa si jambo zuri.
Ambitious JF-Expert Member Dec 26, 2011 2,144 875 Jan 27, 2012 #3 Bwana 'Ed,edd and eddy' anakula shortcut kali sana...yaani kuna uwezekano wa kuitokea denge ikulu.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Jan 27, 2012 #4 ndivyo ilivyo kama kina pasco wa jf na tbc wanamuita PM mstaafu ujue kabisa ndio sipidi yake hiyooo
S sanjo JF-Expert Member Oct 29, 2010 943 271 Jan 27, 2012 #5 Najua Watanzania walishasahau. Ngoja nianze taratibu nikianzia kanda ya Ziwa baadae Kaskazini!
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Jan 27, 2012 #7 View attachment 46189 Hakyanani...mtu kama haelewi maandishi sasa hata picha itamshinda?
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Jan 27, 2012 #8 Safari_ni_Safari said: Click to expand... Sasa hivi atafika Magogoni.