mi nataka kufaham kwa shina moja libabeba wastani wa pods ngapi wakuu
Inategemea lakini ni umakini wa mpandaji kawaida mbegu 4,5 mpaaka 6 akiweka nyingi unaota kama mchicha baadae unaingia gharama kubwa ya kupunguza idadi ya miche.
mi nataka kufaham kwa shina moja libabeba wastani wa pods ngapi wakuu
Ok nimekuelewa kwene upandaji,ila mi sifahamu kwene shina moja la ufuta linabeba wastani wa pods ngapi. mfano kuna baadhi zina hadi watoto(pods) 300 wakati zingine kama 50 sa wastani hapo ni pods ngapi mkuu.Inategemea lakini ni umakini wa mpandaji kawaida mbegu 4,5 mpaaka 6 akiweka nyingi unaota kama mchicha baadae unaingia gharama kubwa ya kupunguza idadi ya miche.
Okay nimekuelewa kwene upandaji,ila mi sifahamu kwene shina moja la ufuta linabeba wastani wa pods ngapi. mfano kuna baadhi zina hadi watoto(pods) 300 wakati zingine kama 50 sa wastani hapo ni pods ngapi mkuu.
Ok mkuu nitashukuru kwa majib yakoKaka let me check aisee sikujua kama swali lako zito namna hiyoo...
Hiyo mbegu ya Lindi 02 ntaipata wapi? maana ufuta imekuwa issue kupata mbegu.
Msimu wa mavuno umewadia na mvua ndo zinazidi kupamba moto inakuwa taabu kidogo
Ulipanda mwezi wa ngapi mkuu??
Naulizia bei wakuu ipoje saiv.na mnunuzi mkuu kwa dar nani
Nilipanda kuanzia tarehe 8 hadi 15 mwezi wakwanza. Nimemaliza kukata nasubiri ukauke
Huku jamaa wameanzia kununua 2200/kg soko bado halija changanya kwa maana ya kwamba wanunuzi bado ni wachache sokoni. Bei Inategemewa kupanda kwa maeneo ya mbeya, Rukwa na Katavi hadi kufikia Tsh3000/kg mnamo katikati ya mwezi wa tano.
N.B: KAMA MWENENDO WA SHILINGI KUPOROMOKA KAMA ILIVYO SASA UTAENDELEA HIVI HIVI TUSITEGEMEE NEEMA KUBWA SANA. Kwa Dar exporters ni wengi wachache ninaowafahamu ni Patel na MO.
Wewe umelimia wap?
Nimelima bonde la ziwa Rukwa upande wa momba na sehemu nyingne ni bonde la ziwa tanganyika wanaita Kirando
Inaelekea huko hakuna mvua kama huku. Hapa ndo mvua zimepamba moto, waliowahi kupanda sijui wapo kwenye hali gani sasa
hivi bora uuzie kijijini au uuzie dar maana changamoto nilizokutana nazo lindi sio mchezo wadau