Ushindi wa leo ni juhudi za CCMNA MPIRA UMEKWISHAAAAa!!
Shaban nditi anafaa sana....kiungo mzuri sana yule.....game kwisha..leo wachezaji kil stars lazima wakutwe na mizigo chumbani mwao
Mkwasa?? .......Mkwasa ilibidi aingize kiungo mkabaji na sio mshambuliaji.
haya mabadiliko yatawaghalimu. inabidi wawe makini sana. Mia
Kwani aliefunga goal si mchezaji wa Yanga......Washabiki wa Yanga wamenywea ! Masaburi yao
una maana chuchumaa?Ushindi wa leo ni juhudi za CCM
Shaban nditi anafaa sana....kiungo mzuri sana yule.....game kwisha..leo wachezaji kil stars lazima wakutwe na mizigo chumbani mwao
Tupeni matokeo hadi sasa
una maana chuchumaa?
Sasa ilikuwaje siku ile tunacheza na Rwanda akimgusa tu Haruna Niyonzima wanamzomea.Kwani aliefunga goal si mchezaji wa Yanga......
Mi tangu nizaliwe sijawahi kuona timu inafungwa mechi mbili halafu inaingia robo fainali.
Kwani aliefunga goal si mchezaji wa Yanga......
kwa hiyo tumeshashindwa kabla hatujacheza?Kwa hiyo stars watakutana na uganda hapo ndo mwisho wa stars imesonga kwa mkono wa Mungu.
hahahahaaha...eti wanasema kwasababu leo aliefunga ni mchezaji waoWashabiki wa Yanga wamenywea ! Masaburi yao
..............tukiwa tumechuchumaaa!!!!!Tumeweza tunasonga.
peleka ujinga wako huko...