King2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,277
- 181
lile lilikuwa kombora la ukweli halafu likampiga kwenye kidevu..
yes, aliokoa vizuri.
lile lilikuwa kombora la ukweli halafu likampiga kwenye kidevu..
Mkuu naona unachanganya majina hapa, kuweka rekodi sawa; kuna Juma Jabu anacheza beki tatu na Husein Javu alikuwa anacheza namba tisa ndo ametoka ameingia Thomas Ulimwengu.Ulimwengu anaingia > jabu anatoka.
enzi zile nikicheza kiungo nurdin alikuwa hakatizi kabisa.sasa hivi anawafunga wamalawi!!!
Ulikuwa unakipiga club gani mzee?enzi zile nikicheza kiungo nurdin alikuwa hakatizi kabisa.sasa hivi anawafunga wamalawi!!!
Mkuu crashwise umeanza kupoteza kumbukumbu alikuwa anacheza tatu, Mbili ilikuwa ikishikiliwa na Said Sued.enzi zipi hizo maana miaka ya nyuma Nurdin alikuwa anacheza namba mbili au Bondeni sec
Mkuu naona unachanganya majina hapa, kuweka rekodi sawa; kuna Juma Jabu anacheza beki tatu na Husein Javu alikuwa anacheza namba tisa ndo ametoka ameingia Thomas Ulimwengu.
enzi zipi hizo maana miaka ya nyuma Nurdin alikuwa anacheza namba mbili au Bondeni sec
matoke ngapi ngapi achni bwabaja bwabaja za kibongo
Ulimwengu anaingia >
Mkuu crashwise umeanza kupoteza kumbukumbu alikuwa anacheza tatu, Mbili ilikuwa ikishikiliwa na Said Sued.
hilo ni kosa kubwa sana. Thomas ulimwengu hana pumzi halafu anafanya madoido mwisho wa siku anaanguka chini. Yaani hapo hamna kitu amebaki jina tu. Mia