commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Wana JF,naomba maoni yenu kuhusu hili. wote wameimba na ku-ghani,aina ya beat ni moja.huyu kaimba "mjomba" mwingine kaimba "shangazi"
*muanzilishi wa tungo alikuwa MPOTO.
*akafuatia MPOKI aka-paste.
Je maamuzi ni sahihi? au ndio ujumbe wa mpoto kwa mjomba umefika na kumponza NAWAKILISHA..........
*muanzilishi wa tungo alikuwa MPOTO.
*akafuatia MPOKI aka-paste.
Je maamuzi ni sahihi? au ndio ujumbe wa mpoto kwa mjomba umefika na kumponza NAWAKILISHA..........