Kilimanjaro Bus watangaza nafasi 30 za wahudumu wa mabasi huku wakijitokeza zaidi ya wadada 200 katika usaili

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,416
6,579
Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.

Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.

Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu.
9B4AFECD-CF1C-45C6-92D5-8F8D72B5078A.jpeg
 
Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.

Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.

Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Hebu fanya unipe namba ya huyo mfanyiwa interview wa kwenye boda. You never know! Anaweza kukosa hiyo kazi. Nataka kumfuta machozi.

Maana nipo kwenye hatua za mwisho kabisa za kulipwa kikokotoo kandamizi cha 33% na hii serikali ya ccm
 
Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.

Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.

Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Si ajabu qualification ya kwanza ni kabila lako, ya pili kanda unayotoka
 
Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.

Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.

Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Maisha magumu hadi hela zimepanda bei.
 
Kuna mmoja ni wa basi la shabiby aisee, aliniganda nimdinye hadi nikakimbia, hata baada ya kumwelewesha kwamba mimi ni mlokole nimeacha hizo dhambi bado ananifuata fuata hadi leo. nimekuja kugundua ameachika kwa talakaa liyokuwa amevamia ndoa ya mtu wakafunga ndoa magumashi bomani, na ametelekezewa mtoto anahangaika na yeyote atakayemwona. wapeni mishahara mizuri basi.
 
Back
Top Bottom