jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Kuna mtu kasema hakimu amekataa ku saini jamaa atoke hadi jumatatu lakini sijui ni ya tarehe gani.lema hajatoka..
Kuna mtu kasema hakimu amekataa ku saini jamaa atoke hadi jumatatu lakini sijui ni ya tarehe gani.lema hajatoka..
ajakwambia kua ameziweka kwa lengo la kutatua matatizo tuliyonayo bali kaziweka ili kutujuza kinachoendelea arusha
Hilo swali kawaulize washenzi wenzako wanaoikumbatia Dowans na matapeli wa kimataifa mshenzi mkubwa!Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
Kuna mtu kasema hakimu amekataa ku saini jamaa atoke hadi jumatatu lakini sijui ni ya tarehe gani.
Nenda kamtafute mtu umwambie aku David Cameroon ndpo matatzo yako yataisha..
Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
hili nalo neno!!Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
Unategemea hizo shida mlizoletewa na ccm zitatuliwe na nani wakati mnaendelea kuing'ang'ania??Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
mwambie babako atatue shida zako..we punga nini