naona thread hii ya waarabu wa pemba!
Nilisikitika sana habari hizo kwa zaidi ya wiki 2 sasa kuna watu wanaandika uzushi na vijimambo kuhusu mimi sijui nia yao nini halafu wanatumia majina bandia na ya ajabu ajabu tu mfano yule wa jana alitumia jina bootytalk - sijui modereta alikubalije kusajili jina hilo na hata ref alizotoa ni za majina ya watu ninaowajua katika mitandao mmoja nilimkosoa kuhusu kuleta software zake za kuuza hapa tanzania akanza matusi kule ethinktank inawezekana ndio akaja sasa na strategy hiyo baada ya kushindwa kujibu maswali yangu
Nilisikitika sana habari hizo kwa zaidi ya wiki 2 sasa kuna watu wanaandika uzushi na vijimambo kuhusu mimi sijui nia yao nini halafu wanatumia majina bandia na ya ajabu ajabu tu mfano yule wa jana alitumia jina bootytalk - sijui modereta alikubalije kusajili jina hilo na hata ref alizotoa ni za majina ya watu ninaowajua katika mitandao mmoja nilimkosoa kuhusu kuleta software zake za kuuza hapa tanzania akanza matusi kule ethinktank inawezekana ndio akaja sasa na strategy hiyo baada ya kushindwa kujibu maswali yangu