- Thread starter
- #41
viongozi wetu legelege sana kwa nini hawaendi kwenye miradi na kuishuhudia wenyewe na badala yake wanakaa ofisini na kupokea taarifa ambazo wao hawajazithibitisha? mfano kuna waziri leo wakati akijibu moja ya maswali ya wizara yake amesema watendaji wengi ni wabadhilifu, je unategemea mtendaji mbadhilifu atakupa majibu ya kweli?tutaendelea kudanganywa sana kama hali ndiyo hii.