Leo katika kikao cha bunge cha maswali na majibu mbunge Anna Kilango Malechela amemwambia naibu waziri Agrey Mwanri kuwa kalidanganya bunge wakati akijibu swali kuhusu hali ya maji katika jimbo lake.
Waziri alijibu akisema kuwa visima vimejengwa katika vijiji ndani ya jimbo lake lakini mama Kilango alikuja juu na kupingana na majibu ya naibu waziri.
Sasa haya majibu yanayotolewa na mawaziri au manaibu waziri huwa wanayatoa wapi?
Waziri alijibu akisema kuwa visima vimejengwa katika vijiji ndani ya jimbo lake lakini mama Kilango alikuja juu na kupingana na majibu ya naibu waziri.
Sasa haya majibu yanayotolewa na mawaziri au manaibu waziri huwa wanayatoa wapi?