kila siku mimi tu jamani

yani hiyo ndo itakuwa baseline siku darasa likianza na nitagawa manuals kwa kweli,mi sitaki watu wawe hawaelewi wakati wa vipindi kisa darasa chafu!akha huo muda wa kufanya remedials uko wapi?shurti darsa livutie ili somo lieleweke vizuri,darsa likiwa chafu hata mtu kuuliza maswali anashindwa,kupiga makofi anashindwa,si anaogopa vumbi!matokeo yake kwenye evaluation inakuwa lesson unsuccessful ~mi spendi kabisa!
Ahsante mwalimu, naomba kuwa mmoja wa mwanafunzi wako. Somo la Reproduction System sikufaulu vizuri. Nahitaji kulirudia.
 
haaaaaaaaaaaaaaa.....
hapana kwa kweli,
uchafu haukubaliki...
loh...




Khaaaa! Wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uongozi wa Kongosho hebu njooni msome hii makitu....... Ila mimi aku! Kuweni wasafi kila idara ili nami niwape raha kwenye kila idara. Kuwachafua niwachafue mie sio mchafuliwe na mijasho na minini sijui....Khaa... mtaula wa chuya. Mtu mpaka kulamba papai uone kinyaa? Staki nasema staki!

SEMA HAPANA KWA UCHAFU!!
 
Mtake radhi mwalimu wangu! Sijawahi kumfundisha, bali ye ndo hunifundisha.

BTT: Unataka kuniambia kila kitu Mungu alivyokiumba ndivyo kilipaswa kuwa vilevile? Mfalme Suleiman alikuwa na wake wangapi? Hebu jaribu kufuatilia na mitume na manabii weeengi waliotukuka kwenye baibo uone walijimilikisha wanawake wangapi? Unataka kunambia wakati akiumba wanyama aliumba jogoo moja na mitetea mingi? Beberu moja na mbuzi mee wengi?

Stuka Blue G! Think!

Hebu niambie, hao wanawake kibaaaao mtaani ambao hawajaolewa au hawana wapenzi unataka vikojoleo vyao vizibe? Acha kuwa selfish, kizuri kula na nduguyo. Haya come this way kwa ukaguzi.
khaaaaaaaa we Asprin bwana ama unajua kujitetea.Haya bwana na kwa taari yako sicam zat way wala nini.na kama ni vizibo labda uwawawekee wewe maanake we ndo mwenye matatizo.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaa! Wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uongozi wa Kongosho hebu njooni msome hii makitu....... Ila mimi aku! Kuweni wasafi kila idara ili nami niwape raha kwenye kila idara. Kuwachafua niwachafue mie sio mchafuliwe na mijasho na minini sijui....Khaa... mtaula wa chuya. Mtu mpaka kulamba papai uone kinyaa? Staki nasema staki!

SEMA HAPANA KWA UCHAFU!!

He he he he, kweli tumeadvance, uchafu nao umekuwa starehe??

Khaaaaaaa we Kongosho hebu mhurumie mwenzio.Ungekuwa we ndo wanakucheet hivyo ungekuwa unalia kama litoto lidogo.uwongoooo?

Si nimesema kabisa Pole mama pita??
 
Ahsante mwalimu, naomba kuwa mmoja wa mwanafunzi wako. Somo la Reproduction System sikufaulu vizuri. Nahitaji kulirudia.
umeshakubaliwa!hilo somo itabidi liwe topic ya mwisho,uzuri wa darsa letu wanafunzi na mwalimu mnajadiliana tusome nini!kwa hiyo wala haina shida,ntamwambia monitor wenu Snowball anote hilo ili tusisahau,maana topic ni nying kwa kweli!na zote ni muhimu tena mno!
 
khaaaaaaaa we Asprin bwana ama unajua kujitetea.Haya bwana na kwa taari yako sicam zat way wala nini.na kama ni vizibo labda uwawawekee wewe maanake we ndo mwenye matatizo.
Umeona sasa? Umeniruhusu mwenyewe. Sasa ulivyosema nimetoa pumba ulikuwa unanitukana au kunisengenya?
 
umeshakubaliwa!hilo somo itabidi liwe topic ya mwisho,uzuri wa darsa letu wanafunzi na mwalimu mnajadiliana tusome nini!kwa hiyo wala haina shida,ntamwambia monitor wenu Snowball anote hilo ili tusisahau,maana topic ni nying kwa kweli!na zote ni muhimu tena mno!
Ahsante mwalimu. Naruhusiwa kuja na wake zangu?
 
pole kwa kupigwa kanzu.....tafuta mmoja umuulize kwa nini alikuacha.
 
Pole sana mama Pita Kumbuka vifua vinabeba mengi
Kila mtu akiamua kusema siri za ndani wewe utasema mbona wewe una nafuu
Omba mungu akupe aliye mwema na mwaminifu
 
Khaaaa! Wake zangu Yummy, cacico na BADILI TABIA chini ya uongozi wa Kongosho hebu njooni msome hii makitu....... Ila mimi aku! Kuweni wasafi kila idara ili nami niwape raha kwenye kila idara. Kuwachafua niwachafue mie sio mchafuliwe na mijasho na minini sijui....Khaa... mtaula wa chuya. Mtu mpaka kulamba papai uone kinyaa? Staki nasema staki!

SEMA HAPANA KWA UCHAFU!!

Hahahaaa mume wangu hii kitu sio mara ya kwanza kusikia yani kuna majamaa niliwasikia kwa masikio yangu mawili tulikua tumekaa tunapiga story(na hao majamaa ni watanashati kwelkwel na si kwa nje tu hata majumbani kwao)ila kilichonichosha walidai wanapenda k zinazotoa harufu,mmoja akatia mie huwa namisi ile harufu kama kisamvu!!!! Nilichokaaaaaaaa nilitaka kuzimia..............nyie wanaume mna fantasy za ajabu sana jamani tuseme za ukweli loooh!!!!!
 
Hahahaaa mume wangu hii kitu sio mara ya kwanza kusikia yani kuna majamaa niliwasikia kwa masikio yangu mawili tulikua tumekaa tunapiga story(na hao majamaa ni watanashati kwelkwel na si kwa nje tu hata majumbani kwao)ila kilichonichosha walidai wanapenda k zinazotoa harufu,mmoja akatia mie huwa namisi ile harufu kama kisamvu!!!! Nilichokaaaaaaaa nilitaka kuzimia..............nyie wanaume mna fantasy za ajabu sana jamani tuseme za ukweli loooh!!!!!
Akili za mbayuwayu hizo my wifey.... changanya na zako!!
 
Back
Top Bottom