jamani unaakuta unampa kila anachota heshima, mapenzi yoote malipo yake kuumizwa tu jamanni kweli dunia haina usawaYaani mimi sitaki stress yaani hata umpe nini si gurantee hatacheat kwa hyo usijepe shida na kujiuliza wengi ndo walivyo,wewe ukiona umechoka take ur time my dear,unaweza kesha ukijiuliza,
jamani unaakuta unampa
kila anachota heshima, mapenzi yoote malipo yake kuumizwa tu jamanni
kweli dunia haina usawa
Mtafute kibabu kimoja kinaitwa Mzee Mwanakijiji, umuulize utapataje kitabu chake cha majeruhi wa penzi. You will learn something.
Pole mwayego.
Mtafute kibabu kimoja kinaitwa Mzee Mwanakijiji, umuulize utapataje kitabu chake cha majeruhi wa penzi. You will learn something.
Pole mwayego.
jamani unaakuta unampa kila anachota heshima, mapenzi yoote malipo yake kuumizwa tu jamanni kweli dunia haina usawa
jamani unaakuta unampa kila anachota heshima, mapenzi yoote malipo yake kuumizwa tu jamanni kweli dunia haina usawa
pole sana lakin pia hebu angalia aina ya watu unaotoka nao. manake yawezekana unatoka na watu ambao wewe siyo class yao ama unaghubu sana ndo mana wanaafuta liwzo nje. hebu jaribu kuongea na uliye naye mwambie akwambaie weak points zako ambazo hazipendi. kubali kuambiwa ukweli.
on the other hand ni tabia za watu a kileo so huwez kuwa na wako peke yako. ishu tu ni kwamba lazima awe anakutunzia heshima yako basi. asikuletee wala kukuonyeshea wazi. kwa maelezo zaid ngoja nikuitie huyu mwenyekiti wa infidelity club Asprin akueleze ukweli.