Kila ninapoifikiria Tanzania napata stress.

Nyakarungu

JF-Expert Member
May 1, 2011
472
375
Ndugu zangu,
Ninaumia sana kila ninapoiona nchi hii yenye neema sana, inavyopukutishwa na wageni nyuma ya watawala wetu.
Ninapoutazama mfumo wa utawala wetu usio na fursa ya wananchi kuamua juu ya rasirimali zao, jamii ziishizo maeneo yenye utajiri ndizo zisizo na matumaini kabisa.
juzi nimekua eneo la mkoa wa Geita, nimewaona wananchi wake wasivyo na matumani licha ya utajiri mkubwa unaotajwa ndani na nje ya nchi.
Nikaikumbuka serengeti nyumbani kwetu, nikainama na kusema, ''jamii inanidai kuikomboa japo kwa kuwapa elimu ya uelewa'' ambayo itatumika kufanya mabadiliko tuyaotayo.
kwa mwonekao kama huu kila kona ya nchi yangu, mimi napatwa na psychologicall depression kubwa kwa stress.
tuna kazi kubwa sana ya kuibadilisha nchi yetu kwa kujikana nafsi zetu wenyewe.
 
"Tanzania bila CCM imara, itayumba" ......Mwalimu JK Nyerere.

Watanzania tuiimarishe CCM.
 
haya maneno yako si sahihi kwa kujenga nch ndugu,
Ukiwa mwelewa na mpembuzi, utagundua mwalimu alisema maneno hayo akiwa na maana, tanzania bila chama tawala chenye uimara itayumba.
Alikitaja ccm kwa kuwa wakati huo hakukua na mfumo wa vyama vingi kama unavyodhani.
Ni vyema ukiwapelekea ushauri huo viongozi wako, ili watimize ahadi zao kwa wananchi, japo tayari nchi imeshayumba kwa ulegelege wao (kinyume cha neno imara).
 
haya maneno yako si sahihi kwa kujenga nch ndugu,
Ukiwa mwelewa na mpembuzi, utagundua mwalimu alisema maneno hayo akiwa na maana, tanzania bila chama tawala chenye uimara itayumba.
Alikitaja ccm kwa kuwa wakati huo hakukua na mfumo wa vyama vingi kama unavyodhani.
Ni vyema ukiwapelekea ushauri huo viongozi wako, ili watimize ahadi zao kwa wananchi, japo tayari nchi imeshayumba kwa ulegelege wao (kinyume cha neno imara).

I just quoted Mwalimu. Nisingeweza kuongeza maneno mengine nje ya aliyoyasema.

Pamoja na hoja yako,...So far hakuna chama imara apart from CCM. ... CDM ni usanii mtupu.
 
Ndugu zangu,
Ninaumia sana kila ninapoiona nchi hii yenye neema sana, inavyopukutishwa na wageni nyuma ya watawala wetu.
Ninapoutazama mfumo wa utawala wetu usio na fursa ya wananchi kuamua juu ya rasirimali zao, jamii ziishizo maeneo yenye utajiri ndizo zisizo na matumaini kabisa.
juzi nimekua eneo la mkoa wa Geita, nimewaona wananchi wake wasivyo na matumani licha ya utajiri mkubwa unaotajwa ndani na nje ya nchi.
Nikaikumbuka serengeti nyumbani kwetu, nikainama na kusema, ''jamii inanidai kuikomboa japo kwa kuwapa elimu ya uelewa'' ambayo itatumika kufanya mabadiliko tuyaotayo.
kwa mwonekao kama huu kila kona ya nchi yangu, mimi napatwa na psychologicall depression kubwa kwa stress.
tuna kazi kubwa sana ya kuibadilisha nchi yetu kwa kujikana nafsi zetu wenyewe.

Ssssssssssssshhhh.................................mkuu ukiongea sana kuna watu watazirai kama kule Tabora jana!!
 
Ndugu zangu,
Ninaumia sana kila ninapoiona nchi hii yenye neema sana, inavyopukutishwa na wageni nyuma ya watawala wetu.
Ninapoutazama mfumo wa utawala wetu usio na fursa ya wananchi kuamua juu ya rasirimali zao, jamii ziishizo maeneo yenye utajiri ndizo zisizo na matumaini kabisa.
juzi nimekua eneo la mkoa wa Geita, nimewaona wananchi wake wasivyo na matumani licha ya utajiri mkubwa unaotajwa ndani na nje ya nchi.
Nikaikumbuka serengeti nyumbani kwetu, nikainama na kusema, ''jamii inanidai kuikomboa japo kwa kuwapa elimu ya uelewa'' ambayo itatumika kufanya mabadiliko tuyaotayo.
kwa mwonekao kama huu kila kona ya nchi yangu, mimi napatwa na psychologicall depression kubwa kwa stress.
tuna kazi kubwa sana ya kuibadilisha nchi yetu kwa kujikana nafsi zetu wenyewe.



aaaisseee.... Pole na stress Mkuu...

Na afadhali kua hilo tu inaelekea ndio limekuweka hali hio... Frankly
ukiketi ukatulia na kuanza kutafakari kila sector ya muhimu ilivyo chafu ki uthamani
(naogopa hata kuzitaja - kama Sherriff alivyosema ukaishia kuzirai...)
Maana hilo tu lime kustress!! Hali ni mbaya.... kweli ni mbaya...
 
Watanzania tusiulaumu uongozi uliopo kwn baadhi ya mikataba ilisainiwa miaka 50 iliyopita .je mkapa na kikwete walihusika?
 
Back
Top Bottom