FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
kabila lake atalipata wapi mapenzi popote yanachanua JP
Unatoka kwa mheshimiwa mzindanyumba nini
...kudanganya ndio unaharibu kabisaaaa... kwani huko 'Lyamba la Mfipa' hakuna mabinti wazuri uoe ili kudumisha mila na desturi?
Huyo mdanganye tuu,akikuuliza kabila mwambie kabila lako Obama,hachomoki hata kwa dawa maana anajua atakuja kuzaa kama sio raisi basi hata mbunge!!Naombeni ushauri kutokana na tatizo linalonikumba ktk haya mambo ya kimahusiano. Ni muda mrefu nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi, na hii hutokea kila ninapowatajia KABILA langu. Mpenzi wangu wa mwisho niliamua kumueleza nia yangu ya kwenda kujitambulisha kwao, lakini alikataa kwa sababu kuwa hawezi kuolewa na mimi, hata kwao watamshangaa kuolewa na mtu kutoka kabila linalosifika kwa uchawi(sina uhakika na hili) na uhusiano uliishia hapo. Kutokana na umri kuanza kunitupa mkono, nimekuja kwa staili ya kuoa na nimepata binti mmoja ambae bado hajapata details zangu. Kutokana na experience niliyopata kutoka kwa wapenzi wa zamani, nafikiria kumdanganya kuhusu kabila langu ili naye asije akanibwaga.
Naombeni ushauri nikaoe kijijini mtu wa kabila langu au niendele e na mpango wa kumdanganya huyu kuhusu kabila langu!
Naombeni ushauri kutokana na tatizo linalonikumba ktk haya mambo ya kimahusiano. Ni muda mrefu nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi, na hii hutokea kila ninapowatajia KABILA langu. Mpenzi wangu wa mwisho niliamua kumueleza nia yangu ya kwenda kujitambulisha kwao, lakini alikataa kwa sababu kuwa hawezi kuolewa na mimi, hata kwao watamshangaa kuolewa na mtu kutoka kabila linalosifika kwa uchawi(sina uhakika na hili) na uhusiano uliishia hapo. Kutokana na umri kuanza kunitupa mkono, nimekuja kwa staili ya kuoa na nimepata binti mmoja ambae bado hajapata details zangu. Kutokana na experience niliyopata kutoka kwa wapenzi wa zamani, nafikiria kumdanganya kuhusu kabila langu ili naye asije akanibwaga.
Naombeni ushauri nikaoe kijijini mtu wa kabila langu au niendelee na mpango wa kumdanganya huyu kuhusu kabila langu!
Hivi Pinda, Kimiti, Mzindakaya na wengine walipataje wapenzi??? Wewe Katavi una yako aisee... watu hawaangalii makabila these days, unless uwe hujasoma!!
Yes, kwa kweli mbele ya Mungu hakuna kinachoshindikana....je umeshaoa au bado unatafuta.Aliyekushauri uende kwenye nyumba za ibada anakutakia mema .utampata Mungu kule na baraka za kumwaga na mafanikio yako utaendelea kuwaombea wote waliokukataa ili waendelee kuishi ili waone jinsi Mungu atakavyokubariki ili wapate pia mafundisho na hata kizazi kijacho kielewe kuwa mapenzi ama mke/mume ni zawadi kutoka Mbinguni na sio mali inatyopatikana kule Ufipani au unyamwezini,upare/uchagani au uhayani.Pole sana na hongera sana kama umeoa tayari.
Mkuu nakushauri usali sana na uzidishe maombi maana mke mwema anatoka kwa Mungu shukuru hao walio kukimbia ni wachunaji tu na ungebahatika kumuoa mmoja usinge dumu nae
naombeni ushauri kutokana na tatizo linalonikumba ktk haya mambo ya kimahusiano. Ni muda mrefu nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi, na hii hutokea kila ninapowatajia kabila langu. Mpenzi wangu wa mwisho niliamua kumueleza nia yangu ya kwenda kujitambulisha kwao, lakini alikataa kwa sababu kuwa hawezi kuolewa na mimi, hata kwao watamshangaa kuolewa na mtu kutoka kabila linalosifika kwa uchawi(sina uhakika na hili) na uhusiano uliishia hapo. Kutokana na umri kuanza kunitupa mkono, nimekuja kwa staili ya kuoa na nimepata binti mmoja ambae bado hajapata details zangu. Kutokana na experience niliyopata kutoka kwa wapenzi wa zamani, nafikiria kumdanganya kuhusu kabila langu ili naye asije akanibwaga.
Naombeni ushauri nikaoe kijijini mtu wa kabila langu au niendelee na mpango wa kumdanganya huyu kuhusu kabila langu!
si lazima aoe ila ni muhimu aoe ndo maana anatamani kuifikia hatua hiyo
mpendwa mungu akusaidie akupe mke wa choice yako amini hivyo