BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,165
kwani lazima uwe na huyo mtu? Kuna faida gani ya kuwa na mtu lakini daily unasononeka? Maisha mafupi shaurilo
kwani na wewe kila saa lazma uwe umeolewa ama una mwanaume? jiimarishe kiuchumi usepe. otherwize mtoe moyoni. ndo alivyo hiyo; mkewe angekuwa hai angekuthibitishia hili. usije ukafa na wewe na presha! jipange, ukimfumania tena unasepa mazima.
Asanteni kwa ushauri wadau. Mdada alifanikiwa kusepa hatimaye,na kaamua kuwa singo::
Chui haachi rangi ya ngozi yake.
Kama huwezi kumbadili,,badilika wewe.
=