Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,589
Hello JF,
leo nimewaza,
hivi wakuu wetu wa mikoa wameelimika kwenye course gani?
ningependa kujua watu hawa huwa wanaangaliwa kwa vigezo vipi?
Mie nadhani watendaji wa halimashauri na wakuu wa mkoa,wapitie mandatory training ya community development course,
kila mmoja atajua jinsi ya kuexploit mazingira yake, kuexplore fursa,na kusolve changamoto mbali mbali zinazomkabili.
educated workforce,better economy and prosperity for our society.
leo nimewaza,
hivi wakuu wetu wa mikoa wameelimika kwenye course gani?
ningependa kujua watu hawa huwa wanaangaliwa kwa vigezo vipi?
Mie nadhani watendaji wa halimashauri na wakuu wa mkoa,wapitie mandatory training ya community development course,
kila mmoja atajua jinsi ya kuexploit mazingira yake, kuexplore fursa,na kusolve changamoto mbali mbali zinazomkabili.
educated workforce,better economy and prosperity for our society.