Kila mkulima mdogo kuchimbiwa kisima na kufungiwa mfumo wa umwagiliaji wa ekari 2.5

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
44,368
51,113
Baada ya BBT sasa ni kila zamu ya wakulima wadogo.

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata mkumbo wa ngonjera, pambio na misamiati ya miaka nenda rudi kuhusu kilimo, sasa inatenda kwa vitendo.


Kila kkulima mdogo atachimbiwa kisiama na kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.

My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi.

Nawakumbusha tu wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uso 2025 msije kusingizia mmmeibiwa. Rais Samia anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele, kazi iendelee.

====



Serikali inaanzisha programu ya Mkulima na Kisima ambapo wakulima watachimbiwa visima na kuwekewa mtandao wa umwagiliaji wa ekari 2.5 kwa kila mkulima mdogo.

Lengo ni kuhakikisha wakulima wanakuwa na uhakika wa maji ya kumwagilia mazao yao misimu yote.
 
Baada ya BBT Sasa ni Kila zamu ya wakulima wadogo..

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata Mkumbo wa ngonjela,pambio na misamiati ya miaka nenda Rudi kuhusu Kilimo Sasa inatenda Kwa vitendo..

Kila Mkulima mdogo atachimbiwa kisiama na Kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.


My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi..

Nawakumbusha tuu Wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uzo 2025 msije kusingizia Mumeibiwa.
Rais Samia Anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele,kazi iendelee.

Usisahau kutupa na mchanguo wa gharama ya kisima kwa umwagiliaji wa ekari 2.5 na je wakulima wapi waliolengwa kwa hatua hii ya sasa,je na hao ni wakulima wa zao gani na maeneo yapi ya Tanzania?
 
Baada ya BBT Sasa ni Kila zamu ya wakulima wadogo..

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata Mkumbo wa ngonjela,pambio na misamiati ya miaka nenda Rudi kuhusu Kilimo Sasa inatenda Kwa vitendo..

Kila Mkulima mdogo atachimbiwa kisiama na Kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.


My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi..

Nawakumbusha tuu Wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uzo 2025 msije kusingizia Mumeibiwa.
Rais Samia Anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele,kazi iendelee.

Tupo kwenye Bandari sasa
 
Baada ya BBT sasa ni kila zamu ya wakulima wadogo.

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata mkumbo wa ngonjera, pambio na misamiati ya miaka nenda rudi kuhusu kilimo, sasa inatenda kwa vitendo.

Kila kkulima mdogo atachimbiwa kisiama na kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.

My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi.

Nawakumbusha tu wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uso 2025 msije kusingizia mmmeibiwa. Rais Samia anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele, kazi iendelee.

====

View attachment 2677154

Serikali inaanzisha programu ya Mkulima na Kisima ambapo wakulima watachimbiwa visima na kuwekewa mtandao wa umwagiliaji wa ekari 2.5 kwa kila mkulima mdogo.

Lengo ni kuhakikisha wakulima wanakuwa na uhakika wa maji ya kumwagilia mazao yao misimu yote.
50Mil kwa kila kijiji imeishia wapi?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Baada ya BBT sasa ni kila zamu ya wakulima wadogo.

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata mkumbo wa ngonjera, pambio na misamiati ya miaka nenda rudi kuhusu kilimo, sasa inatenda kwa vitendo.

Kila kkulima mdogo atachimbiwa kisiama na kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.

My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi.

Nawakumbusha tu wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uso 2025 msije kusingizia mmmeibiwa. Rais Samia anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele, kazi iendelee.

====

View attachment 2677154

Serikali inaanzisha programu ya Mkulima na Kisima ambapo wakulima watachimbiwa visima na kuwekewa mtandao wa umwagiliaji wa ekari 2.5 kwa kila mkulima mdogo.

Lengo ni kuhakikisha wakulima wanakuwa na uhakika wa maji ya kumwagilia mazao yao misimu yote.
Acha uongo zenyu,..Kuajili tu mmeshindwa ndo zije hizo Mambo,..Au ndo zile ahadi za "Mabomba yatatoa maziwa Nchi nzima"
 
Acha uongo zenyu,..Kuajili tu mmeshindwa ndo zije hizo Mambo,..Au ndo zile ahadi za "Mabomba yatatoa maziwa Nchi nzima"
Ajira na kukuza Kilimo wapi na wapi? Wewe Kwa akili Yako mbovu unadhani bili.970 za Kilimo ni za kazi gani? Nusu yake ni Kwa Ajili ya irrigation farming
 
Baada ya BBT sasa ni kila zamu ya wakulima wadogo.

Serikali ya awamu ya 6 imeamua kutofuata mkumbo wa ngonjera, pambio na misamiati ya miaka nenda rudi kuhusu kilimo, sasa inatenda kwa vitendo.

Kila kkulima mdogo atachimbiwa kisiama na kufungiwa Irrigation system ya kutosha kumwagilia hekta 1 au ekari 2.5.

My Take
Maneno kidogo Vitendo zaidi ni mwendo wa kuupiga mwingi.

Nawakumbusha tu wazee wa DP World na Twitter mkipigwa za uso 2025 msije kusingizia mmmeibiwa. Rais Samia anaendeleza kujitofautisha na wapiga makelele, kazi iendelee.

====

View attachment 2677154

Serikali inaanzisha programu ya Mkulima na Kisima ambapo wakulima watachimbiwa visima na kuwekewa mtandao wa umwagiliaji wa ekari 2.5 kwa kila mkulima mdogo.

Lengo ni kuhakikisha wakulima wanakuwa na uhakika wa maji ya kumwagilia mazao yao misimu yote.

Ogopa matapeli.
 
Back
Top Bottom