ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
- Thread starter
- #41
Mtoa mada ni mtoto wala hajaoa katoa kwenye story za movie kaleta hapa jamvini kupima hasira zetu, kama unataka kujua ni mtoto angalia style yake ya kuandika kwa kutumia numbers e.g 2seme, 2tatfika
Usemavyo mkuu lakini bado ukweli utabaki pale pale am "married" ila ku2mia hivyo nikupunguza urefu w maneno...ushaur wako?