Kikwete's Stooge Foreign Policy?

KJ,

Achana na Waingereza na hipocrisy yao.

From a purely African perspective, unakubali kwamba Mugabe anefanya grave atrocities? War crimes? Heinous acts bordering on genocide?

Unavyosema hapo juu inakuwa kama unaamini kuna sides mbili tu katika hii issue, Mugabe na Waingereza.Issue iko complex zaidi, kuna Wazimbabwe, kuna Mugabe na genge lake, kuna Waingereza na shoga zao wa magharibi na kuna Waafrika wa nchi nyingine.

Sasa basi, the fact that Waingereza ni wanafiki haiondoi ubaya wa Mugabe.Na si kweli kwamba kila Muafrika ambaye anataka Mugabe aondolewe anakubaliana na Waingereza.


Pundit,
Tunaweza sema tuachane na hizo hypocricy za waingereza, lakini in one way or another, they are the ones driving Zimbabweans into submission.

Ndio ni kweli issue ya Zim ni complicated, lakini kwa ujumla wake inagawanyika makundi mawili tu, Mugabe vs UK (whitefarmers). Matatizo mengine yote yanakuwa derived kutokana na huo msuguano, iwe ni matatizo ya uchaguzi, the hyperinflation au hata wakimbizi huko SA n.k.

The reprehensible crimes commited in Matebele land are well known. Zimbabwe soon after independence went through a period of turmoil, as opposing tribal sides were trying topple eachother, one in government and the other in the bush. It is unfortunate that many people were killed as a result, but that has nothing to do with the cry over Mugabe's head today. Call it anyhow, but the fact is that the west were never concerned of the deaths or disapperance of those individuals then, and the queen even had the audacity of giving the Knighthood to Mr. Mugabe. All that changed after land redistribution, why?

Mugabe might have messed up along the way, but which leader hasn't. However, that doent give us the stupidity to side with the whitefarmers and their backers, in toppling Mugabe.
 
Kikwete is a politician kama tunavyowajua, Kelele nyingi, PR kwa wingi.. dancing to the rhythm that is convenient.. Sio statesman.. Na mkutano huo wa Mbabane imewonyesha akina Kichaka na Gordon Gin kwamba yeye ni debe-la-kelele tupu lisilo na uzito... Kama foreign policy yetu kwa sasa (if it exists).....

Well said BS. Our foreign policy used to be in support of the well being of Africa. But now we seem to have a prez who is willing to dance to the tunes of the same monsters we opposed yesterday. What a shame.
 
kubwajinga jiulize kwanini wazimbabwe millioni nne wamekimbia nchi? kubwajinga je wewe na familia yako mngependa kuhamia zimbabwe kuchukua nafasi yao?

unataka kutuambia kwamba Angola hiyo hiyo iliyokataa meli ya kichina isishushe shehena ya zilaha destined for zimbabwe ilikuwa stooge? wakati afrika inapingana na makaburu, jirani yetu uganda mwafrika mwenzetu alikuwa anatesa na kuwaua raia wake. huoni kwamba hii ni aibu? unataka kutuambia stori ya mateso na manyanyaso ya raia wa zimbabwe ni hadithi ya kutunga? je kuna mtu ambaye hadi leo hajui kwamba robert mugabe mzee wa miaka 84 alishindwa uchaguzi wa urais na mpinzani wake?

Kwa hiyo wewe ungependa Tanzania ikae kimya? huyu babu kwa sasa hatufai na mwisho wake utakuwa mbaya.
 
Kikwete asipoangalia all expectations people and other leaders had on him will be gone. This is because of what he is doing at his own country.Ndio maana viongozi wa nchi nyingine wanaanza kufikiria " he is a joke" I just don't get it, kwanini anawalinda hawa watu nyumbani???? Mafisadi!!!!
Moja ya sababu tulisamehewa madeni ni good government and less corruption. Yeye kuto chukua hatua kuwashitaki hawawatu, will cost us dearly especially if the donor countries reverse their decision!!!!! Angalia Rwanda, mabadiliko mengi yana tokea, especially on economical level. They are adopting models from Asian countries whose economies grew so fast in the past 20yrs. I think he knows what needs to be done he just don't do it!!!!!!!!
i THINK WE NEED TO PRESSURE HIM TO TAKE ACTION AND TAKE IT NOW!!!!!!!!!! OTHERWISE AACHIE NGAZI!!!
 
Kikwete asipoangalia all expectations people and other leaders had on him will be gone. This is because of what he is doing at his own country.Ndio maana viongozi wa nchi nyingine wanaanza kufikiria " he is a joke" I just don't get it, kwanini anawalinda hawa watu nyumbani???? Mafisadi!!!!
Moja ya sababu tulisamehewa madeni ni good government and less corruption. Yeye kuto chukua hatua kuwashitaki hawawatu, will cost us dearly especially if the donor countries reverse their decision!!!!! Angalia Rwanda, mabadiliko mengi yana tokea, especially on economical level. They are adopting models from Asian countries whose economies grew so fast in the past 20yrs. I think he knows what needs to be done he just don't do it!!!!!!!!
i THINK WE NEED TO PRESSURE HIM TO TAKE ACTION AND TAKE IT NOW!!!!!!!!!! OTHERWISE AACHIE NGAZI!!!

so long mkuu anawajibika na hawa wakubwa wanataka nini kwenye nyanja za siasa ngazi ya kidunia basi hakuna kitakachotokea. laiti asingeitikia matakwa yao saa hizi mbona tayari jamaa wangekuwa wanapiga shinikizo hevi kwamba mafisadi wachukuliwe hatua. hapo ndo mimi napata matatizo sana kuamini kwamba nia na madhumuni ya hawa wakubwa huko zimbabwe ni maslahi ya wazimbabwe.
 
Back
Top Bottom