Kikwete's Stooge Foreign Policy?

Ni yeye Mugabe ndiye anataka kuonesha kuwa kuna kugongana katika SADC... hata viongozi wote wa SADC wangekuwepo angesema mbona "wake zao hawapo?"!

Mkuu MJJ,
Kama watu wamegomea mkutano hiyo siyo dalili ya mgawanyiko? Kikwete kaitisha kikao akajikuta yeye mwenyewe na kale kajamaa ka-poligamist na ni kwa vile ndio anaye-chair otherwise, ingekuwa tu Kikwete.

Angalia kwenye BBC wamepika kuwa Angola nao walikuwapo na Mbeki alishiriki kwa simu. Kitu tofauti na communique iliyotolewa. Kikwete kauparamia na sasa anatuaibisha.
 
Miye jana niliandika hapa kuonyesha kwamba hata SADCC JK hana respect kama asivyokuwa nayo ndani ya Tanzania. Huyo jamaa ni kichekesho kitupu. Hii ni ishara nyingine kwamba huyu jamaa hastahili kupewa awamu nyingine.

Mkuu umenichekesha kweli.

Imefikia hapa, lakini hata nyerere zamani alikuwa akisema, ukiona wazungu wanakufuata sana ujue una tatizo. Hili tumeliona kwa mkapa pia kwa JK sasa.

Mugabe analijua vizuri hili, hawa watu wa mataifa ya kizungu/kibepari hawakubendi hivi hivi
 
Hivi hao ving'ng'anizi hawataki kuamini kuwa tushawapiga makaburu na mamluki wao bao?
Subirini muone!
 
For the first time in the history of Tanzania, our brothers in South Africa and Angola decided to boycot a gathering championed by Tanzania.

What does it tell us on our current foreign policy? Are we realy advocating for the region or we are driven by cheap fame and handouts?

Frankly, Kikwete and Membe are pushing our country into stooge foreign politics that are not compatible with our identity. It is unfortunate that even the charismatic MPs likes Zitto are supporting these ugly moves. We are in a pit, shouldn't we advise each other to stop digging instead of chearing the diggers?


Leaders boycott Sadc summit on Zimbabwe

Herald Reporters
Kubwajinga,
Tangu lini umeanza kusoma herald ya Zimbabwe? hilo gazeti ni kama Uhuru lile la CCM; unafikiri wataandika nini? Katika miaka yangu yote ya kusoma herald sijawahi kuona la muhimu. Kama umesoma hilo umewahi kusoma The Dailynews kabla halijafungiwa? Au Zim Online? Tuache ushabiki, the boy (Kikwete) on foreign policy is at best! Hawa kina Mbeki, mugabe, hata Dos Santos bado wamo kwenye usingizi na ndoto za upigania uhuru; that will go by time!

Unasoma BBC?
 
At 84yrs, Mugabe have no self ambitions. He is clinging into power to safegurd his soul, dignity and offcourse to some extent the liberty of Zimbabweans.

If you are myopic, you will only see the recent violence, but if you are inteligent and inquisitive, you will look at Zimbabwe in a much broader way, with attention made to the questionable endless attention given to the Zimbabwean affairs by the British government, her allies and their media.

MMH! Hii kali Kubwajinga! Mugabe has no ambitions? Safeguarding the liberty of Zimbabweans!!!????
Incredible, alafu nyie mnapiga makelele kuhusuufisadi wa CCM?? Mnachekesha. Ufisadi wa Mugabe ni mara 1000 ya Kikwete na Lowassa! BEcause he has killed, maimed and tortured his people!
 
Human Rights abuses na killings za Midlands na Matabeleland tu mwaka 1982, achilia mbali hizi mpya, zilitosha kumpeleka Mugabe The Hague a long time ago.

Wamesahau...........
 
Foreign policy? What foreign policy?

A country's foreign policy is a set of goals that seeks to outline how that particular country will interact on an official basis with other countries of the world and, to a lesser extent, non-state actors

or

A government's policy relating to matters beyond its own jurisdiction: usually relations with other nations and international organisations; Used retrospectively, the sum of a leader or government's dealings and relations with other nations
 
A country's foreign policy is a set of goals that seeks to outline how that particular country will interact on an official basis with other countries of the world and, to a lesser extent, non-state actors

or

A government's policy relating to matters beyond its own jurisdiction: usually relations with other nations and international organisations; Used retrospectively, the sum of a leader or government's dealings and relations with other nations

The question was "What foreign policy?" not "What is foreign policy?"

The question was a Socratic one, rhetorical if you will, aimed at making the audience reflect on whether Tanzania really has a foreign policy.

I trust you now understand the question and are better equipped to contribute more after this provocative but introspective rhetoric question.
 
hilo gazeti ni la zimbabwe na ni type ya uhuru au daily news.mbeki is a coward, na aondoke tu aingie xuma, few strong barve men will stand for democracy, mi namsapoti kikwete on this, sjui mbeki kwanini anamuogopa mugabe namna hii, shame!!

mbeki mtu mbaya sana, he is a coward and hypocrite, anajua wazimbabwe in thousands wanakimbilia SA lakini yeye anaona shwari tu, hata babu mandela jana kampaka mugabe huko london

ceteris peribus, kitendo tu cha kubadilisha katiba ili uendelee kuongoza, inakuonesha we ni mtu wa aina gani, selfish, greed, and a dictator.shame on him! I stand by our president on this, hata kama wame-boycot, wamefanya hivyo out of hypocracy
kwa hiyo unataka kutuambia kwamba wewe unajua zaidi kinachotokea zimbabwe kuliko wazimbabwe wenyewe?
kwani hizo habari za kunyanyaswa watu huko zimbabwe unazoziongela wewe umezitoa wapi? tupe chanzo chako cha habari....au kwa kuwa wazungu hawajaandika basi hauamini?
wewe unamshtumu mbeki basi haujui lelote kuhusu huyu bwana hakuna kiogozi mwenye akili afrika kama Mbeki baada ya Isayas Afewerki, hivi unajua kama hakuna wakati ambapo uchumi wa AK umekuwa kwa kasi kama wakati wa mbeki?
usisikilize hao wazungu nenda bondeni ukaone kitu kinaitwa black middle class kwanza halafu ndio uje hapa uongee na sio kusikiliza wazungu wanavyokwambia na wewe unafwata mkumbo....
 
Mkuu hiyo ni uhuru ya Zimbabwe, kwa wanaoijua Zimbabwe..we know who even wrote it!

Watu mtaspin tuu kwamba tunaosupport Jk tumenyweshwa sumu na wa USA na Brits..lakini ukweli uko pale pale...Ni nchi gani isiyotegemezi?

Mbeki is just an embarrasment to our continent. Ngoja labda wampe Zuma he can be better! Africans we are still stuck in politics za 1960? Nani hakutawaliwa na wazungu? Germany, JAPAN..ZOTE ZILIKUWA HUMILIATED KAMA MBWA AFTER WWII..but they had a vision. Sisi hapa tunang`ang`na na siasa za mkoloni..what a shame! Ardhi, Ardhi..mpaka lini? sisi Tanzania ambao hatuna hao masettlers...mbona tunategemea msaada wa chakula wa Umoja wa mataifa?

Mbeki , Dos Santos ni sore losers tuu..politicians of yesterday..sasa hivi ingebidi uenyekiti wa AU akabidhiwe Kagame akina Mbeki wangeshika adabu!
Yele uwii mungu masalie na mtume, sina la kusema......
 
The question was "What foreign policy?" not "What is foreign policy?"

The question was a Socratic one, rhetorical if you will, aimed at making the audience reflect on whether Tanzania really has a foreign policy.

I trust you now understand the question and are better equipped to contribute more after this provocative but introspective rhetoric question.

wewe na weye kwa kujua kiingereza tuu hujambo manake hivi una shahada ya lugha ya kiingereza nini? manake naona kingereza chako kigumu kweli au unafanya makusudi ili baadhi yetu tusikuelewe? mbona unaandika kiingereze kigumu kuliko hata magazeti ya huko ulaya manake mengi yao nikisoma naelewa lkni wewe kingereza chako mhh sikipati kabisa... sasa usitake kutuacha wengine jaribu kuandika lugha rahisi....ni ombi tuu
 
wewe na weye kwa kujua kiingereza tuu hujambo manake hivi una shahada ya lugha ya kiingereza nini? manake naona kingereza chako kigumu kweli au unafanya makusudi ili baadhi yetu tusikuelewe? mbona unaandika kiingereze kigumu kuliko hata magazeti ya huko ulaya manake mengi yao nikisoma naelewa lkni wewe kingereza chako mhh sikipati kabisa... sasa usitake kutuacha wengine jaribu kuandika lugha rahisi....ni ombi tuu

Wengine watakataa, watasema siandiki kigumu sana ila wewe unasoma kirahisi sana.

Hivi kitu gani kigumu katika kutofautisha "What foreign policy?" na "What is foreign policy?"
 
Wengine watakataa, watasema siandiki kigumu sana ila wewe unasoma kirahisi sana.

Hivi kitu gani kigumu katika kutofautisha "What foreign policy?" na "What is foreign policy?"

usisahau kama wengi wetu tumesoma kingereza kama somo na baada ya hapo sekondari ndio kiingereza lkni mwalimu ilibidi aseme na kufundisha kiswahili ili tumuelewe.. kukumbusha tuu, vinginevyo puuzia kila kitu na endeleza kujibu/changia hoja za waungwana......
 
usisahau kama wengi wetu tumesoma kingereza kama somo na baada ya hapo sekondari ndio kiingereza lkni mwalimu ilibidi aseme na kufundisha kiswahili ili tumuelewe.. kukumbusha tuu, vinginevyo puuzia kila kitu na endeleza kujibu/changia hoja za waungwana......

Ahsante,

Hata mie nimesoma hivyo hivyo na bado najifunza kaka, kwa hiyo tujifunze pamoja.
 
Originally Posted by Pundit
Human Rights abuses na killings za Midlands na Matabeleland tu mwaka 1982, achilia mbali hizi mpya, zilitosha kumpeleka Mugabe The Hague a long time ago.


Wamesahau...........

Zitto,
That is why I asked you to go and learn more about the Zimbabwean mayhem before discussing it. The expectations on you are high, though slowly fading away from some of us.

Mugabe was Knighted in 1994, did anyone at that time, talk about Matebeleland? Did anyone ask the Queen yesterday while taking off the knighthood, why was it given to him in the first place? Mugabe only became a dictator, despot, thug, tyranny, murderer e.t.c., after land redistribution took effect. A coincedence or a really backlash?

Mugabe might be wrong in some of his domestic politics, which is not unique from many other 3rd World countries, but the now popular global cry over Mugabe is not about Zimbabweans at all, it is about land, it is about getting rid of Mugabe, it is about punishing him and of course it is about putting an Abel Muzorewa type leader in power. After that, you will never see BBC be vehemently concerned about the wellbeing of Zimbabweans.
 
Zitto,
That is why I asked you to go and learn more about the Zimbabwean mayhem before discussing it. The expectations on you are high, though slowly fading away from some of us.

Mugabe was Knighted in 1994, did anyone at that time, talk about Matebeleland? Did anyone ask the Queen yesterday while taking off the knighthood, why was it given to him in the first place? Mugabe only became a dictator, despot, thug, tyranny, murderer e.t.c., after land redistribution took effect. A coincedence or a really backlash?

Mugabe might be wrong in some of his domestic politics, which is not unique from many other 3rd World countries, but the now popular global cry over Mugabe is not about Zimbabweans at all, it is about land, it is about getting rid of Mugabe, it is about punishing him and of course it is about putting an Abel Muzorewa type leader in power. After that, you will never see BBC be vehemently concerned about the wellbeing of Zimbabweans.

KJ,

Achana na Waingereza na hipocrisy yao.

From a purely African perspective, unakubali kwamba Mugabe anefanya grave atrocities? War crimes? Heinous acts bordering on genocide?

Unavyosema hapo juu inakuwa kama unaamini kuna sides mbili tu katika hii issue, Mugabe na Waingereza.Issue iko complex zaidi, kuna Wazimbabwe, kuna Mugabe na genge lake, kuna Waingereza na shoga zao wa magharibi na kuna Waafrika wa nchi nyingine.

Sasa basi, the fact that Waingereza ni wanafiki haiondoi ubaya wa Mugabe.Na si kweli kwamba kila Muafrika ambaye anataka Mugabe aondolewe anakubaliana na Waingereza.
 
Zitto,

..jielimishe zaidi kuhusu kilichopelekea mauaji ya Matebeland.

..pia jielimishe kuhusu hali ya kisiasa ya kusini mwa Afrika kipindi kile.

..wako Wazimbabwe wanaodai kwamba Watanzania wana mkono wao katika balaa lile.

NB:

..kuna habari za askari wa ZANU na ZAPU kupigana wakiwa ktk makambi Tanzania.
 
ndo maana namuona kituko, nobody can deny mchago wa mugabe kuipatia uhuru zimbabwe, na nobody is trying kupotosha hilo, ila ukweli unabaki palepale, kwanza kabisa siyo leader, ni ruler.Halafu ameendelea kutuaibisha kama vionozi waliopita wa africa waliokua wanafia madarakani.

angalia alichofanya mobutu, kina banda, nk.wanaziharibu nchi for decades to come.zimbabwe ilikua among few countries with a stable economy in africa, angalia alipoiweka!! poor economic policies, hyper inflation, nk

Huwezi kumlaumu m-west kwa zimbabwe kua pale, ni mugabe ameiweka paleits gonna take decades zimbabwe kurudi ilipokua.

Dear Moshe Dayan,
I like the way you compare Mobutu and Mugabe.... Weren't the west ardent supporters Mobutu? ... do you not think Zimbabwe will go down the drain with Morgan and his western Support? Kama akina Mobutu? .. lets be frank an honest with ourselves, the west will only support leaders ready to rape and plunder their own land/people for the good of the west!..
 
Kikwete is a politician kama tunavyowajua, Kelele nyingi, PR kwa wingi.. dancing to the rhythm that is convenient.. Sio statesman.. Na mkutano huo wa Mbabane imewonyesha akina Kichaka na Gordon Gin kwamba yeye ni debe-la-kelele tupu lisilo na uzito... Kama foreign policy yetu kwa sasa (if it exists).....
 
Back
Top Bottom