FOWAGE
Member
- Nov 6, 2010
- 24
- 0
JK amechelewa kujisafisha kwa watanzania,swahiba/mkereketwa wa CCM kibonde akafikiri anamuuliza swali rahisi rais wake kumbe kamkaanga hajui hata muundo wa serikali yake.heshima ya urais ipo wapi km atapita barabarani kwenye VX halafu halafu citizen wanakuzomea hawana time naye.