<br />siyo rais wetu bwana!!!!! tz hatuna rais ! tumechoka nasema tena tumechoka na JK
siyo rais wetu bwana!!!!! tz hatuna rais ! tumechoka nasema tena tumechoka na JK
Yaani huyu JK kuwepo na kutokuwepo ni sawa tuu.............. Kagame alisema apewe bandari na airpot ili ili ailishe TZ na nchi yake...... Jamaa akachekelea tuuu.....Yaani we acha tuuuuuuuuuuu ..............Hatuna Rais ila tu LAISRais wetu yupo nchini au? Mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.
<br /><br /> <br /><br /> jamani acheni jazba huyu jamaa ananianjena tu kwa watanzania ni watendaji wake ndo wanamwangusha. Hahahaaaaa
Anashughulikia matatizo ya somalia ili meli za mafuta zipite salama kwenye gulf ya Aden . Haya madogo madogo ametuma watendaji wake wayashughulikie taarifa ya utekelezaji atapelekewaRais wetu yupo nchini au? Mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.
Leo anafuturu na Sheikh Shariff....Last I heard, alikuwa anafuturisha viongozi wa dini na jana nadhani alikuwa na Rais wa Somalia.
Ha ha ha !!
Abaki nchini achekwe?
Nafikiri sasa anakata anga kuelekea Marekani kuhimiza uwekezaji