bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
mkuu raisi wetu anakipaji cha usikivu na saizi,kafunga anasubirishia futari tena leo ana ugeni ikulu ameuandalia futari,kwa hiyo sio vizuri yeye kuongeaongea wakati swaumu imekaza na jua kali lote hili subiri mfungo uishe atapanda pipa kwenda opec kushughulikia tatizo la mafuta,serikali yake ni sikivu na chakavu usihofu tumvumilie tu...........................rais wetu yupo nchini au? mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.