charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Ndugu zangu wanaJF. Tukubali kwamba kwa yeyote aliyemsikiliza mhe. RAIS jana kwenye hotuba yake basi atagundua kuwa JK is man of people. Jamaa ni MZALENDO sana na anafanya MAAMUZI SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI. Good JK, Keep it up.