mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Mheshimiwa Dr mwenyekiti wa Taifa,baba wa familia na Rais wa Jamuhuri yetu,najua Hujambo na unaendelea vizuri na Safari zako.
Sisi tupo japo ni Misiba ya kila siku,baba najua upo Mbali ila kwa kuwa una ile Ipad yako na ni Member humu kwa jina la utani basi najua unasoma hii..
Baba hawa wanaokufa wengi wana kitambulisho cha Mpiga kura na kofia na T shirt za Chama tawala.
Hawa wote walikupa ridhaa ya kukusanya kodi na kupanga Matumizi baba(kuunda Serikali)
Umekuwa Kimya kuhusu kunusuru maisha ya Waliokuwa wanajaa viwanjani kukushangilia wakati unaomba Ridhaa.
Hawa Madaktari hawana shida kama unavyodhani.
Bei yao ni ya Maelewano,USIOGOPE UKUBWA WA SAMAKI ULIZA BEI,wao wametamka bei yao kwa Mwezi'ila wewe hujatamka ya Kwako kuwa upo tayari kwa bei Gani.
Mdogo wako Bilal sjui ye yuko wapi,ila Binamu yako nae Kapindisha Mizengwe,hawa wanaa mini Kiranja wako Haji anawaponda na Binti yako Blandinda anawanyonya..
Sasa basi tunakuomba sana,haistaili uingie kwetu(muhimbili)ila SEMA NENO MOJA TU NA ROHO ZETU ZITAPONA..
Sisi tupo japo ni Misiba ya kila siku,baba najua upo Mbali ila kwa kuwa una ile Ipad yako na ni Member humu kwa jina la utani basi najua unasoma hii..
Baba hawa wanaokufa wengi wana kitambulisho cha Mpiga kura na kofia na T shirt za Chama tawala.
Hawa wote walikupa ridhaa ya kukusanya kodi na kupanga Matumizi baba(kuunda Serikali)
Umekuwa Kimya kuhusu kunusuru maisha ya Waliokuwa wanajaa viwanjani kukushangilia wakati unaomba Ridhaa.
Hawa Madaktari hawana shida kama unavyodhani.
Bei yao ni ya Maelewano,USIOGOPE UKUBWA WA SAMAKI ULIZA BEI,wao wametamka bei yao kwa Mwezi'ila wewe hujatamka ya Kwako kuwa upo tayari kwa bei Gani.
Mdogo wako Bilal sjui ye yuko wapi,ila Binamu yako nae Kapindisha Mizengwe,hawa wanaa mini Kiranja wako Haji anawaponda na Binti yako Blandinda anawanyonya..
Sasa basi tunakuomba sana,haistaili uingie kwetu(muhimbili)ila SEMA NENO MOJA TU NA ROHO ZETU ZITAPONA..