Kikwete Sema neno Moja tu na Roho zetu zitapona

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Mheshimiwa Dr mwenyekiti wa Taifa,baba wa familia na Rais wa Jamuhuri yetu,najua Hujambo na unaendelea vizuri na Safari zako.
Sisi tupo japo ni Misiba ya kila siku,baba najua upo Mbali ila kwa kuwa una ile Ipad yako na ni Member humu kwa jina la utani basi najua unasoma hii..
Baba hawa wanaokufa wengi wana kitambulisho cha Mpiga kura na kofia na T shirt za Chama tawala.
Hawa wote walikupa ridhaa ya kukusanya kodi na kupanga Matumizi baba(kuunda Serikali)
Umekuwa Kimya kuhusu kunusuru maisha ya Waliokuwa wanajaa viwanjani kukushangilia wakati unaomba Ridhaa.
Hawa Madaktari hawana shida kama unavyodhani.
Bei yao ni ya Maelewano,USIOGOPE UKUBWA WA SAMAKI ULIZA BEI,wao wametamka bei yao kwa Mwezi'ila wewe hujatamka ya Kwako kuwa upo tayari kwa bei Gani.
Mdogo wako Bilal sjui ye yuko wapi,ila Binamu yako nae Kapindisha Mizengwe,hawa wanaa mini Kiranja wako Haji anawaponda na Binti yako Blandinda anawanyonya..
Sasa basi tunakuomba sana,haistaili uingie kwetu(muhimbili)ila SEMA NENO MOJA TU NA ROHO ZETU ZITAPONA..
 
Nyie ndio mnatakiwa mfungiwe jiwe shingöni mtoswe baharini.mlipiga kura kama vipofu mnalalamika kama vichaa.
 
Mheshimiwa Dr mwenyekiti wa Taifa,baba wa familia na Rais wa Jamuhuri yetu,najua Hujambo na unaendelea vizuri na Safari zako.
Sisi tupo japo ni Misiba ya kila siku,baba najua upo Mbali ila kwa kuwa una ile Ipad yako na ni Member humu kwa jina la utani basi najua unasoma hii..
Baba hawa wanaokufa wengi wana kitambulisho cha Mpiga kura na kofia na T shirt za Chama tawala.
Hawa wote walikupa ridhaa ya kukusanya kodi na kupanga Matumizi baba(kuunda Serikali)
Umekuwa Kimya kuhusu kunusuru maisha ya Waliokuwa wanajaa viwanjani kukushangilia wakati unaomba Ridhaa.
Hawa Madaktari hawana shida kama unavyodhani.
Bei yao ni ya Maelewano,USIOGOPE UKUBWA WA SAMAKI ULIZA BEI,wao wametamka bei yao kwa Mwezi'ila wewe hujatamka ya Kwako kuwa upo tayari kwa bei Gani.
Mdogo wako Bilal sjui ye yuko wapi,ila Binamu yako nae Kapindisha Mizengwe,hawa wanaa mini Kiranja wako Haji anawaponda na Binti yako Blandinda anawanyonya..
Sasa basi tunakuomba sana,haistaili uingie kwetu(muhimbili)ila SEMA NENO MOJA TU NA ROHO ZETU ZITAPONA..
kichwa cha nazzi kama kile hakiwezikukuelewa meeen
 
huyu bwana hafai kabisa yaani ameshindwa hata kukaa na kutoa tamko anamsukumia pinda ili yeye akija apindishe aonekana pinda ni kimeo aaaah
 
Huyo mwehu wala hupaswi kutumia maneno ya Ekaristi takatifu, koma nyamb...f! Hilo zezeta litakuelewa saa ngapi? Bichwa limejaa maji hilo!
 
Nyie ndio mnatakiwa mfungiwe jiwe shingöni mtoswe baharini.mlipiga kura kama vipofu mnalalamika kama vichaa.
Kweli kabisaaaa km ni mwana CCM ndo adhabu ya kumstahili, halafu cjui huwa wanatoka wapi, wanajipa umbumbumbu usowafaa, jitu utakuta linabangaiza maisha ni magumu lakini lina Mt-shirt na kofia ya chama kibovu kilichopanga ikulu, yaani dawa yao ni kuwatosa tu baharini, maisha ni magumu jamani asikwambie m2, damn ze CCM guyz to death

  • :alien:
 
Si neni kwa niaba ya Rais Kikwete bali nanena kwa niaba ya nafsi yangu. Suala la kwanza madaktari waliogoma na ambao hawajagoma wanawajibika kwa nani? Nafikiri "udaktari" ni ajira kwa upande mmoja na kwa upande mwingine ni taaluma ambayo ndani yake kuna utu na ubinadamu. udaktari kama ajira waweza kugoma kufanya kazi uliyoajiriwa kwa hata mwezi mzima na kisha ukachukua mshahara kwa kazi ambayo haukuitekeleza ikiwa ni pamoja na mgomo baridi (hatua hii huongozwa na ID). Udaktari kama taaluma waliyoipata kutokana na kodi za wagonjwa wanaotaabika na wengine kupoteza maisha kwa kukosa huduma ni dhamana ambayo wanahitaji kuitumikia kwa hali zote hata ikibidi wao wapoteze maisha kwa ajili ya wagonjwa. Sasa hapa utaona mambo ni kinyume chake wagonjwa wanakufa kwa ajili ya madaktari - Uzalendo uko wapi? Tafakari hivi na wanjeshi wakigoma si tutakufa sote kwa ajili ya wanajeshi?! Haya na wakulima, walimu, wachungaji, maaskofu na mashehe( ambao nao kwa kiasi fulani kikubwa wako kimya badala ya kuwakemea wana kondoo wao ambao wamegeuka mbwa mwitu n.k. Chaos?! Sisi ni binadamu kwanza na hivyo kwa matendo yetu tuwajibike kwa aliyetuumba.
 
Umenena vyema
Si neni kwa niaba ya Rais Kikwete bali nanena kwa niaba ya nafsi yangu. Suala la kwanza madaktari waliogoma na ambao hawajagoma wanawajibika kwa nani? Nafikiri "udaktari" ni ajira kwa upande mmoja na kwa upande mwingine ni taaluma ambayo ndani yake kuna utu na ubinadamu. udaktari kama ajira waweza kugoma kufanya kazi uliyoajiriwa kwa hata mwezi mzima na kisha ukachukua mshahara kwa kazi ambayo haukuitekeleza ikiwa ni pamoja na mgomo baridi (hatua hii huongozwa na ID). Udaktari kama taaluma waliyoipata kutokana na kodi za wagonjwa wanaotaabika na wengine kupoteza maisha kwa kukosa huduma ni dhamana ambayo wanahitaji kuitumikia kwa hali zote hata ikibidi wao wapoteze maisha kwa ajili ya wagonjwa. Sasa hapa utaona mambo ni kinyume chake wagonjwa wanakufa kwa ajili ya madaktari - Uzalendo uko wapi? Tafakari hivi na wanjeshi wakigoma si tutakufa sote kwa ajili ya wanajeshi?! Haya na wakulima, walimu, wachungaji, maaskofu na mashehe( ambao nao kwa kiasi fulani kikubwa wako kimya badala ya kuwakemea wana kondoo wao ambao wamegeuka mbwa mwitu n.k. Chaos?! Sisi ni binadamu kwanza na hivyo kwa matendo yetu tuwajibike kwa aliyetuumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom