Kikwete: Omanis of Tanzanian origin may be eligible for dual citizenship

Mtumwa hawezi kamwe kumsahau Bwana wake..bali Bwana huweza kumsahau Mtumwa wake....!haya ni mawazo ya kitumwa,kuamini kuwa una undugu na mtu aliyepata kuwa Bwana wako,akakuuza kama bidhaa sokoni,akakusafilisha bara mpaka pwani kwa mijeredi na mizigo mizito!Yeye aliyekuona wewe kama bidhaa wewe unamuona yeye kama ndugu...

We do no have politician nowadays, a politician would have demanded a retributive justice from the former slave masters, does it mean that we have forgotten or bitter past?????
 
<Kwanini <wa <Oman tu<<? <Kapata <URAIA wa Oman nini?
Punguza chuki zisizo na issue, si hata wale wa USA,UK etc mwaka jana walishaambiwa about hiyo issue pia. Hao tunaowaita Diaspora si mpaka membe alitamka bungeni!! Sometimes punguzen ubiased. Kwaiyo unataka kutuaminisha anawapendelea waarabu na sio walio america na uerope? Pumba
 
A constitutional review that is underway in Tanzania may lead to the passage of a bill that would enable Omanis who have roots in that country avail dual citizenship, according to President Jakaya Mrisho Kikwete, whose visit to Oman concluded on Friday.

Speaking at a press conference on Thursday, Kikwete said Oman is the only country in the world whose citizens are related to many in Tanzania. “I meet somebody from Oman and he says my relatives are in Tanzania. No country I have visited has such a relationship. Oman is a very special country for Tanzania, which is why consolidation and advancing of these relations is the top priority of the diplomacy of Tanzania,” Kikwete said.

He said his country is conducting a constitutional review during which dual citizenship will be considered. “We are now in the process of doing a constitutional review and dual citizenship is one of the things that will be discussed. We have so many people of Tanzanian origin who have acquired citizenship of other countries. If the dual citizenship bill is passed, Omanis of Tanzanian origin can now have the liberty to reclaim the citizenship of their ancestral home country.”

Omanis of Tanzanian origin maybe eligible for dual citizenship - Muscat Daily

hilo sawa lakini sheria za uraia oman haziruhusu kuwa na uraia wa nchi 2 so itabidi wachague kuwa wa oman au wa tanzania na vyo vyote watabaki kuwa wa oman hivyo wala hakuna haja ya mjadala
dual citizen sometimes ni kizungu mkuti
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sijaona tatizo lolote hapo kwa sababu ni kweli oman ina wa tz wengi sana tena ambao hawajaisahau nchi yao,naamini serikali ya Oman karibia 55 percent inaendeshwa na waswahili wa Tz,hata wakazi wa mji wa muscat wengi wao ni wa Tz najua kikwete baada ya ziara yake kaliona hilo,ukiwa katika mji wa muscat sehem yeyote ongea kiswahili hutakosa mswahili,
 
Biashara ya utumwa iliposhamiri pwani hii na kuonekana Zenj kuwa kitovu kinahoinufaisha sana hierarikia yao. Palipo hazina yako ndipo na moyo wako ulipo.
Unajua kuwa Kilwa ilikuwa ikijitawala Kiislamu na kufikia hatua ya kuwa na sarafu yake yenyewe ikiandikwa laailaaha illa llaah?
 
Ohoo,nilishaliona hili,huu ndio upeo wa huyu bwana ndo mana niliuliza kwanini hamkumzuia kwenda Oman?sasa kazi imeanza,hao mabwana watapewa kilakitu kwa kisingizio kwamba no ndugu zetu.
 
As much as I question JK's thinking I agree with what he said regarding dual citizenship(dc). Unlike others contributing to the subject I don't see where JK said or implied that dual nationality would apply to Omans only. It would be strange had he not referred to people of Oman in his speech as that was his audience. JF discussed the issue of dc for many years and one would think the subject is well understood. It doesn't seem so. It feels like an insult or a taboo for our leaders to publicly defend dc, the feeling is that those in favor of dc are sellouts. For that leaders have zipped their lips and those daring to unzip get blasted.

One contributor to the thread goes as far as saying that the president's speech would somehow influence constitutional amendment currently underway with regards to dc. So, the president isn't allowed to state what is to be amended let alone airing his opinion regarding dc?

Pathetic to see JF great thinkers think inside the box when it comes to dual nationality. I keep on saying Tz needs a semi dictatorial government to move the country forward. The issue of dc in today's world of globalization requires a bold decision of three to five people, not the whole country.
 
Sioni ubaya wa dual citizenship. Ubaya ni vile hatuaminiani. Hapo itakuwa ngumu.

Kweli kabisa, dual citizenship haina ubaya wowote na kama ina manufaa au la hilo ni jambo la mtu mmoja mmoja. Kama mtu kwake haina manufaa haina maana kwa mwingine haina manufaa.
 
Mtumwa hawezi kamwe kumsahau Bwana wake..bali Bwana huweza kumsahau Mtumwa wake....!haya ni mawazo ya kitumwa,kuamini kuwa una undugu na mtu aliyepata kuwa Bwana wako,akakuuza kama bidhaa sokoni,akakusafilisha bara mpaka pwani kwa mijeredi na mizigo mizito!Yeye aliyekuona wewe kama bidhaa wewe unamuona yeye kama ndugu...

JENGA PICHA KUWA kauli HIZI JK ANGEZITOA AKIWA ROME, COMMENTS NYINGI ZINGEKUWA hivi

well done Kikwete,
at least now i can solute u mkuu,
Kutokea uanze kuongoza leo ndio umenena!
MK in hatari!
 
Punguza chuki zisizo na issue, si hata wale wa USA,UK etc mwaka jana walishaambiwa about hiyo issue pia. Hao tunaowaita Diaspora si mpaka membe alitamka bungeni!! Sometimes punguzen ubiased. Kwaiyo unataka kutuaminisha anawapendelea waarabu na sio walio america na uerope? Pumba

I'm never bias at all; Wakati Rais Anaongea anaongea at that point haendi kuelezea ya DIASPORA na OMAN sio DIASPORA Au Hata Kidogo Sikufikiria ya kupendelea Waarabu au Weusi...

Kwanini ukisikia hivyo UNA RUKA JUU YA KITI CHAKO? Sikuongelea upendeleo; wala chuki
 
Sijaona tatizo lolote hapo kwa sababu ni kweli oman ina wa tz wengi sana tena ambao hawajaisahau nchi yao,naamini serikali ya Oman karibia 55 percent inaendeshwa na waswahili wa Tz,hata wakazi wa mji wa muscat wengi wao ni wa Tz najua kikwete baada ya ziara yake kaliona hilo,ukiwa katika mji wa muscat sehem yeyote ongea kiswahili hutakosa mswahili,

Issue siyo kwamba Oman ina Watanzania wengi.
Issue ni kama Oman inaruhusu/itaruhusu dual citizenship.
Kikwete akivyoongea ni kama vile Oman inarihusu/itaruhusu dual citizenship.
Vingenevyo atakuwa aliwaingiza Waomani choo cha stendi.
 
Sijaona tatizo lolote hapo kwa sababu ni kweli oman ina wa tz wengi sana tena ambao hawajaisahau nchi yao,naamini serikali ya Oman karibia 55 percent inaendeshwa na waswahili wa Tz,hata wakazi wa mji wa muscat wengi wao ni wa Tz najua kikwete baada ya ziara yake kaliona hilo,ukiwa katika mji wa muscat sehem yeyote ongea kiswahili hutakosa mswahili,
sawa mkuu lakini basi na akina Godwin Gondwe wapewe basi kwa ajili ya Malawi!
Mimi naona kuna haja ya kuvutia wawekezaji lakini sio kufikia kiasi cha kuwahaidi kuwa "nitakupa hata chumba changu ulale, au nitakupa mke wangu", inabidi tuheshimu kile tulicho nacho na kukionea fahari badala ya kujidhalilisha, Wawekezaji daima wanatafuta a 'safe heaven' ya mitaji yao na hakuna haja ya kuwaahidi kuwa "mkija wengi tutawapa hata kiti bungeni".
Passport/uraia ndio identity no. 1 na tusiidharirishe bali tu pale penye sababu za msingi.
Nadhani angetumia mudza huo kuwaeleza walivyotupeleka utumwani na kudai fidia kama wazee wa Mau Mau wanavyofanya sasa badala ya kuwanyenyekea kama wezi wa EPA, sote ni nchi, tuna bendera na viti UN

 
duh Jk umeamua mpaka kupiga dili za kuwapa waarabu uraia wa tanzania sio hayaa...na sie huko tukitaka uarabu tutapewa? mheshimiwa rais unatuuza kwa waarabu mbele ya macho yetu na sie tunaangalia..

Anataka kuongeza idadi ya Waislamu labda........joking that is

In July 2000 the population of Oman was estimated at 2,533,389, of whom 2,006,311 were Omani and 527,078 were non-Omani.
 
Huyu jamaa kwa kudanganywa ni kiboko, hizo takwimu zake huwa anazipata wapi sijui....na inavyoonekana ana asili ya kudanganywa danganywa huyu....Oman is the only country in the world??? au ndiyo style ya watoto wanauza shikamoo mjini? Yaani akikuamkia tu jiandae kuombwa hela, I think our big man yupo katika kundi moja na hawa watoto.
Hivi anajua kuwa wamalawi na wanyakyusa ni kitu kimoja, anafahamu vipi kuhusu Zambia? Rwanda?
Dah!! Huu ni nudhaifu kwakweli.
 
duh Jk umeamua mpaka kupiga dili za kuwapa waarabu uraia wa tanzania sio hayaa...na sie huko tukitaka uarabu tutapewa? mheshimiwa rais unatuuza kwa waarabu mbele ya macho yetu na sie tunaangalia..

Hakuna mwenye kurudisha Uraia wa Oman na kutaka wa Tanzania. Ila tupo wengi tuliorudisha za tanzania kuchukua wa Oman.

je unajuwa Riyal oman ipo strong kuliko pesa yoyote ya Ilaya.

Kwa mujibu wa takwimu za leo 1 Oman Riyal ni sawa na 4016 TZ Shilling
 
Back
Top Bottom