MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Sina shaka kuwa kuna watu wasiopenda kukubali ukweli watakanipinga kwa kejeli na mbwembwe lakini hilo lakini ni bora kilicho gizani kikamulikwa ili kionekane!
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
UPDATES
Enzi hizi nilikuwa shabiki wa CHADEMA, kabla sijabadili namimi gia angani!Naamini JPM atatufikisha tunapotaka kwenda. Msilie sasa BAVICHA Raisi tuliyemtaka aje atikise system ndio yuko madarakani tumuunge mkono
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
UPDATES
Enzi hizi nilikuwa shabiki wa CHADEMA, kabla sijabadili namimi gia angani!Naamini JPM atatufikisha tunapotaka kwenda. Msilie sasa BAVICHA Raisi tuliyemtaka aje atikise system ndio yuko madarakani tumuunge mkono