Dah watanzania kwa kulalamika, hebu elezeni mipango mizuri mliyonayo kichwani basi, maana mkilalamika bila ku-present your own good idea ili tuseme dah, unacholalamika ni kweli na una option au opinion nzuri, amasivyo huna tofauti na wale tulikuwa tunawaita "watoto wa mama, au kula kulala" maana pamoja na kuwa na umri na uwezo wa kuzalisha mali, chakula hawajakitafuta wao, ila kikiwa na kasoro duh, hilo varangati lake hapo mezani usipime? Hebu tutoeni aibu Wa-Tanzania, anzeni kufikiri positively, na muamue hapo mlipo mnataka kufanya nini kuibadili hii Tanzania, hata Raisi akiwa strong or weak, at the end of the day Tanzania stands high in terms of the developments adn in terms of inter-country politics and image.
Sina shaka kuwa kuna watu wasiopenda kukubali ukweli watakanipinga kwa kejeli na mbwembwe lakini hilo lakini ni bora kilicho gizani kikamulikwa ili kionekane!
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
kwa vipaumbele vilivyoanishwa ndani ya bajeti kuhusu kilimo ni dhahiri kuwa kilimo kitachukua muda kukua hata kama kikiongezewa mamilioni hayo na mengine! kuhusu miundo mbinu kama chachu ya maendeleo natoa tick,lakini kwa kilimo? sidhani!
Sababu ni kubwa ni kuwa, msingi mkubwa wa ukuaji wa biashara yoyote ni soko, kama kuna uhakika wa masoko yenye bei za kuvutia uzalishaji, basi binadamu atahangaika tu ,atapata hizo pembeje, huduma za ugani hata kama asipo saidiwa na serikali! sasa soko la mazao ya kilimo nini?
Ni viwanda vya usindikikaji, ambavyo vinaweza kuanzishwa kwa juhudi za kuunganisha Veta, SIDO, USHIRIKA, na huduma za kibenki! kila pazalishwapo zao pawe na kiwanda cha kusindika na kuongeza thamani! serikali ikisimamia vyema juhudi hizi za wadau hawa, amabao watamobilise, vijana, watapatiwa ujuzi,na vtendea kazi pamoja na mikopo katioka kuanzisha viwanda hivyo, ambavyo vitakuza ajira na kuimarisha soko la mazao hivyo kuleta msukumo (stimulant) katika ukuaji wa kilimo,ufugaji, uvuvi,na hata madini!
Sina shaka kuwa kuna watu wasiopenda kukubali ukweli watakanipinga kwa kejeli na mbwembwe lakini hilo lakini ni bora kilicho gizani kikamulikwa ili kionekane!
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
Sina shaka kuwa kuna watu wasiopenda kukubali ukweli watakanipinga kwa kejeli na mbwembwe lakini hilo lakini ni bora kilicho gizani kikamulikwa ili kionekane!
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
Kutumwa kubaya haswaa!! wewe nawe nini sasa umeleta hapa? taja % kwenye bajeti siyo unaleta namba hapa! Una ROHO NGUMU NINAKUSIFU KWA KULETA THREAD HII umepewa bei gani?Sina shaka kuwa kuna watu wasiopenda kukubali ukweli watakanipinga kwa kejeli na mbwembwe lakini hilo lakini ni bora kilicho gizani kikamulikwa ili kionekane!
Ni ukweli usiopingika kuwa serikali ya ya JK imechafuliwa na kashfa nyingi mbaya ambazo sina malengo ya kuzirudia na wala sitomjibia hizo. Lakini kama mwananchi mwema na msema kweli nakiri kuwa NIMEIONA NDANI YA JK DHAMIRA YA DHATI YA KUMSAIDIA MWANANCHI WA HALI YA CHINI NA HASA MKULIMA!
Pamoja na ushabiki wangu kwa CHADEMA,nimesikitishwa na vipaumbele vyao katika bajeti mbadala kwani ''KILIMO SIO KIPAUMBELE CHAO''.
Kwa hili nimeona na nimetambua kwanini CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu,chakusikitisha hata AFYA za wananchi nazo sio muhimu kwa kwa waandaji wa bajeti mbadala. Hili limenifanya niamini kuwa kambi ya upinzani ilyopita ilyokuwa na mchanganyiko wa vyama vyote vya upinzani ilitufaa sana kuliko hii ya chama kimoja.
Kitendo cha JK kuongeza bajeti ya umwagiliaji mpaka kufikia bilioni 40 kimeonyesha dhamira yake ya kumhakikishia mkulima anavuna na kuondokana na njaa halafu umaskini. Kwa nchi ambayo asilimia 80 ya wananchi wake ni wakulima huwezi kuondoa kilimo kama kipaumbele, huu kwangu ni ujuha!
Ninawataka waliondaa bajeti hii mbadala warudi wakazingatie maslahi ya wachache na kuweka maslahi ya ya walio wengi mbele. Kwa ujumla nimekereka nayo na kama wakulima hatutoanza kujaaliwa kwenye bajeti mbadala ni vipi tukiwapa nchi?
Nampongeza JK na serikali yake kwa hili ila hizo pesa zilizotengwa zitolewe mapema ili wananchi wanufaike nazo!
Kweli mkuu uliona mbali sana big up!Nilipoyasema haya hamkunielewa, sasa mmeongezea mengine
ahaaa ahaaaa teeehee teeheee Rais dikteta sasa tumeshampata tuwache kupiga mayowe tulicho kitaka sasa tumekipataJk ni rais dhaifu kuliko wote waliopita. Hata ukimwekea kidole kwenye jicho yeye aka! Hana shida. Kama Nyerere alikuwa dikteta basi tunataka madikteta kama Nyerere kuongoza tanzania
unaikumbuka hii post yako? leo ni 2016.Naomba niliweke wazi hili kuwa Rais Kikwete ni rais bora kuliko marais wote waliomtangulia hapa Tanzania. Nathibitisha hoja yangu kwa ushahidi ufuatao(conclusive evidence):
1. J.Kikwete siyo dikteta, wakati JK Nyerere alikuwa dikteta mkubwa sana, akifuatiwa na Mkapa.Nyerere alitaka mambo yote ktk nchi yaende kama anavyotaka yeye. Hakuwa tayari kukosolewa.Mkapa naye hivyohivyo.
2.J.Kikwete ni mtu mwenye utu, ubinadamu. Nyerere, mwinyi, Mkapa hawa jamaa walikuwa hawana utu, ni unyama tuu.
3.J.Kikwete ni mtu muungwana ambaye yuko tayari muda wote kusikiliza na kufanyia kazi maoni hata ya vyama vya upinzani.Anaheshimu mawazo ya watu bila kujali itikadi za vyama husika. Nyerere alifuta vyama vyote vya upinzani miaka ya sitini, akaleta dhana ya chama kushika hatamu ili imulinde yeye na madaraka yake. Mkapa daima aliporomosha matusi kwa vyama vya upinzani.
4.J.Kikwete anaheshimu sana utawala wa sheria(Rule of Law). Hapendi kuingilia UHURU WA MAHAKAMA. Wakati waliomtangulia wote walikuwa tayari hata kuingilia uhuru wa mahakama kwa masilahi yao.
5.J.Kikwete ni mtu ambaye hana mawaa na mtu yeyote.
6.J.Kikwete amekuwa tayari kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya. Kitu ambacho watangulizi wake wote hawakuwa tayarisha licha ya misukumo ya kimahakama na wanaharakati.Nyerere ndiye alikuwa kinara wa kuvuruga katiba ya nchi kwa masilahi yake. Mwaka 1977 kwa makusudi kabisa akiwa anajua, alitengeneza mkakati wa kuhakikisha katiba ya nchi inatengenezwa na kamati ya chama, siyo wananchi.Ukisoma historia ya constitutional development ktk nchi hii kuanzia katiba ya 1961 hadi 1977 utajua who is Nyerere. Vinginevyo hutamjua Nyerere.
7.J.Kikwete ni mtu wa Mungu na Changuo la Mungu, ni zawadi ya Mungu kwa watanzania kwani kweli anaheshimu uhuru wa kuabudu, haki za binadamu, hana ubaguzi wa aina yoyote ile.
Take note: Kama mtazamo wangu huu si wa kweli basi mtakuja kunikumbuka mwaka 2015 atakapopatikana raisi mwingine. Kumpata Raisi mwenye fadhiri za kiutu, kibinadamu, kizalendo, kidemokrasia, kihaki, kama Kikwete ni ngumu sana!
God Bless you!
bila shaka sasa hivi unafuraha ya kutosha. maana Magu ni zaidi ya nyerere.Jk ni rais dhaifu kuliko wote waliopita. Hata ukimwekea kidole kwenye jicho yeye aka! Hana shida. Kama Nyerere alikuwa dikteta basi tunataka madikteta kama Nyerere kuongoza tanzania
Nadhani mmeona majibu yaliyotolewa!Tusilalamike, tumepata Rais seriousahaaa ahaaaa teeehee teeheee Rais dikteta sasa tumeshampata tuwache kupiga mayowe tulicho kitaka sasa tumekipata
Ni kwa sababu kuna maneno yalishushwa humo na watu ambao ni wepesi kusahau!leo hii eti wanamkumbuka JKunaikumbuka hii post yako? leo ni 2016.
Surebila shaka sasa hivi unafuraha ya kutosha. maana Magu ni zaidi ya nyerere.
Ukilalamika mtu kama wewe utaeleweka!Tulikuwa na mawazo yanayoshabihianaNaweka ukweli wazi kuwa:
sijawahi kutana na J Kikwete.
Sija wahi wasiliana naye kwa namna yoyote ile.
Sihitaji chochote toka kwake kama Jk.
Sina masilahi yoyote yale katika msimamo wangu huo usiotegemea hisia, bali ukweli.
Narudia tena kwa msisitizo wa kina: JKikwete ni bora kuliko maraisi wote waliomtangulia, ambao sehemu kubwa waliongoza serikali ya Tanzania kijanja-kijanja.