Kikwete ni mnyongaji mkuu

masasi

Member
Aug 3, 2010
48
0
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA SANA,MIKATABA YA HOVYO INAYOWATESA WATANZANIA CHINI YA UTAWALA WAKE SIO UNYONGAJI?KUWAKUMBATIA WATUHUMIWA WA EPA WALIOKULA MABILIONI YA WATANZANIA AMBAO WANAKUFA KWA KUKOSA MADAWA SIO UNYONGAJI TOKA KWAKE?MISHAHARA DUNI,VIUWA MGONGO DUNI,MFUMUKO WA BEI KILA KUKICHA UNAOWATESA WANANCHI SIO UNYONGAJI WAKE?ANATAKA AINA GANI NYINGINE YA UNYONGAJI TOKA KWAKE HUYO KIKWETE ALIYEKOSA HURAMA KWA WATANZANIA?:A S-danger::A S-danger:
 
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA SANA,MIKATABA YA HOVYO INAYOWATESA WATANZANIA CHINI YA UTAWALA WAKE SIO UNYONGAJI?KUWAKUMBATIA WATUHUMIWA WA EPA WALIOKULA MABILIONI YA WATANZANIA AMBAO WANAKUFA KWA KUKOSA MADAWA SIO UNYONGAJI TOKA KWAKE?MISHAHARA DUNI,VIUWA MGONGO DUNI,MFUMUKO WA BEI KILA KUKICHA UNAOWATESA WANANCHI SIO UNYONGAJI WAKE?ANATAKA AINA GANI NYINGINE YA UNYONGAJI TOKA KWAKE HUYO KIKWETE ALIYEKOSA HURAMA KWA WATANZANIA?:A S-danger::A S-danger:
Mambo ya uchaguzi bwana. Watu mnakurupuka tu na title zisizona mantiki. Nilidhani unataka kumuuliza Rais km yeye ndiye amepewa mamlaka ya kuidhinisha wauwaji wanyongwe, haoni kwamba hatimizi wajibu wake ipasavyo kwa mujibu wa katiba?
 
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA SANA,MIKATABA YA HOVYO INAYOWATESA WATANZANIA CHINI YA UTAWALA WAKE SIO UNYONGAJI?KUWAKUMBATIA WATUHUMIWA WA EPA WALIOKULA MABILIONI YA WATANZANIA AMBAO WANAKUFA KWA KUKOSA MADAWA SIO UNYONGAJI TOKA KWAKE?MISHAHARA DUNI,VIUWA MGONGO DUNI,MFUMUKO WA BEI KILA KUKICHA UNAOWATESA WANANCHI SIO UNYONGAJI WAKE?ANATAKA AINA GANI NYINGINE YA UNYONGAJI TOKA KWAKE HUYO KIKWETE ALIYEKOSA HURAMA KWA WATANZANIA?:A S-danger::A S-danger:
Mikataba ipi unayomaanisha? Au unamaanisha mikataba ya mtangulizi wake? Wewe upo wapi? mbona mikataba mingine ilimshinda kuvunja, sasa angefanyeje na yeye anataka utawala wa sheria? Mijitu mingine bwana, aghhh,
 
Mikataba ipi unayomaanisha? Au unamaanisha mikataba ya mtangulizi wake? Wewe upo wapi? mbona mikataba mingine ilimshinda kuvunja, sasa angefanyeje na yeye anataka utawala wa sheria? Mijitu mingine bwana, aghhh,

Mikataba yote ya dizaini ya chifu Mangungu, kila mtz mwenye akili timamu anaijua. Kama huna akili timamu bahati mbaya.

It doesn't matter kama ni ya mtangulizi wake au la, yeye yupo incharge sasa na chochote kinachotokea sasa anawajibika moja kwa moja and it is his fault.

Alipo mdau kunakuhusuni?

Kama alishindwa kuvunja mikataba huo ni udhaifu wake, na ni sifa ya kiongozi asiyefaa.

Bootylickers wengine bana..aargghh..
 
Kweli kikwete ni zaidi ya mnyongaji, na mbaya zaidi ananyonga watu wasio na hatia. Kumbuka hata suala la Barrick kuachia maji yenye sumu yakauwa watu na mifugo yao. na ujue kuwa Kikwete ni mmoja wa wamiliki wa Barrick Gold Mine, anamiliki hisa katika kampuni hiyo ya kikoloni.
 
KATIKA MOJA YA KAMPENI ZAKE KIKWETE ALIDAI KUWA KTK UTAWALA WAKE HAJAWAHI KUTOA RUHUSA YA KUNYONGWA KWA MTU YEYOTE KAMA SEHEMU YA KUJINASIBU KWENYE KAMPENI ZAKE,KIKWETE KWANGU NI MNYONGAJI MKUBWA SANA,MIKATABA YA HOVYO INAYOWATESA WATANZANIA CHINI YA UTAWALA WAKE SIO UNYONGAJI?KUWAKUMBATIA WATUHUMIWA WA EPA WALIOKULA MABILIONI YA WATANZANIA AMBAO WANAKUFA KWA KUKOSA MADAWA SIO UNYONGAJI TOKA KWAKE?MISHAHARA DUNI,VIUWA MGONGO DUNI,MFUMUKO WA BEI KILA KUKICHA UNAOWATESA WANANCHI SIO UNYONGAJI WAKE?ANATAKA AINA GANI NYINGINE YA UNYONGAJI TOKA KWAKE HUYO KIKWETE ALIYEKOSA HURAMA KWA WATANZANIA?:A S-danger::A S-danger:

huna sera wewe au umekosa title ya kupost humu? si ukae tu utulie maana unavyofanya mahusiano ya hoja kunyonga na matukio ambayo akili yako inakutuma hata haviendani. Jamani demokrasia hii mnakurupuka tuu hamjui mseme nini
 
Back
Top Bottom