Kikwete na Utumishi, tangazeni na toeni ajira za maofisa ICT wa Mkoa na Wilaya

Jana nilikua kwenye workshop moja pale udsm,alikuja profesa toka Carnegie Mellon University
akawa anaongea juu ya umuhimu wa Cloud computing,na kwanini wameamua kufungua
tawi la chuo chao Rwanda.

Aliongea mengi sana,ila akasema najua sasa hivi mkituona watu weupe mnachukia
kwa sababu tume waibia raslimali zenu na tunaendelea kuchukua.
Marekani hatuna mkonga wa taifa kama huku,kule ili upitishwe ni gharama kweli kweli
maana uta negotiate na kila mtu kuchimba chini kupitisha,lakini hapa kwenu aaah
unachimba popote tu.

Tanzania mna nafasi ya kufanya makubwa,lakini mmesinzia,kama wazungu
walivo waibia raslimali zenu,ndivyo WANYARWANDA WATAKAVO WAIBIA KAZI ZENU
KWA MAANA WAMEWEKEZA KWENYE TEKNOLOJIA HII.

Wao hawana raslimali ardhi kama nyie,lakini kagame anasema wana raslimali watu
na wanataka kila mtu ajue TEKNOHAMA ili wasambae africa kote na Rwanda iwe center
ya "silicon valley" ya Africa.

Ni kweli kabisa,tume lala fofofo.
Lets make a difference.

Mkuu,

Speaker huyo professa hajakuwa muwazi na facts unapozungumzia Rwanda wenzio washaweka fundamentals tayari sasa hivi wanaelekea katika technology. Last week wamenunua bandwith ya fiberoptic of up to 1.2GB per second. But huyo professa wenu anasahau inflation Rwanda is 7% Tanzania inflation is 20%. Rwanda development index is very high wamejenga barabara ya lami hadi vijijini. Tanzania mji mkuu wa biashara Dar-es-Salaam hauna lami jiji zima. We rank lower katika corruption and development despite the fact we are growing economically. Rwanda GDP is growing by 8% ours is growing by 7%. Literacy rate Rwanda is high sisi inaporomoka kila siku.

Rwanda wana haki ya kuanzisha cloud computing kwasababu washaweka misingi tayari.
 
ma ICT ngazi ya mkoa wapo,tena wanaenda vema sana na technologia,na ni wasomi wazuri tu,je unafahamu kuwa kuna baadhi ya mikoa wameshaanza hata kufanya majaribio ya E-conference?fuatilia utajua.mimi nina ushahidi na hili.
 
Naunga mkono,
KWa kuongeza hata tatizo la walimu linapungua, mwalimu mmoja anaweza fundisha shule zote za DAR, kama kuna infrustructure ya uhakika.
 
Mkuu,

Speaker huyo professa hajakuwa muwazi na facts unapozungumzia Rwanda wenzio washaweka fundamentals tayari sasa hivi wanaelekea katika technology. Last week wamenunua bandwith ya fiberoptic of up to 1.2GB per second. But huyo professa wenu anasahau inflation Rwanda is 7% Tanzania inflation is 20%. Rwanda development index is very high wamejenga barabara ya lami hadi vijijini. Tanzania mji mkuu wa biashara Dar-es-Salaam hauna lami jiji zima. We rank lower katika corruption and development despite the fact we are growing economically. Rwanda GDP is growing by 8% ours is growing by 7%. Literacy rate Rwanda is high sisi inaporomoka kila siku.

Rwanda wana haki ya kuanzisha cloud computing kwasababu washaweka misingi tayari.

Hapo kwenye nyekundu, unaweza kupaelezea kidogo? mbona hiyo kitu ndogo sana.
 
Mdondoaji Hivi wilaya na mikoa yote haina umeme .Na mambo ya umeme ni wajibu wa taaluma nyingine .Tusichanganye mambo.Ndio maana kunawahandisi wamikoa . Kama hawafanyakaziyao hilo ni ni suala lingine

iweje mwanafuzi wa tambaza au jangwani ashindwe kuona practical ya chemistry/Physics hata kwenye video ?IS it umeme. Sawa wa kibondo hana umeme Vipi wa kniondoni/mwanza arusha mjini badodo anasoma practical kwa kukariri maandishi kama tulivyosoma zamani wakaati tunaimba TEKNOHAMA ....?

Iweje maktaba ya taifa za mikoa haina machapisho latest ya kada mbalimbali wakati tungeweza wangeweza kujinga na mkataba za online kupatacopy yanakakwabei nafuu . is it umeme ?

Kwa nini nishidwe kuona jina la kijiji au mtaa wangu kwenye googlemap? Is it umeme?

Jamani kama kweli wanasiasa wanaimba TENHAMA waonyeshe utayari kwa vitendo na kuwezesha



Mdondoaji am not even talking about E-government .Naongea Potenetial amabazo zipo tayari zinatakiwa kutumika lakini haizitumkia sababu watu hawana taarifa au hajui wafanyeje .Ni hilo tu Hakuna cordinationna awareness ..... Na ukisema vipaumbeele then ICT in the current ni key. Ndio maana nimeandika mwanzo kuwa la sivyo miradi expensive kama mkonga wa taifafaida zake zitaishia kwenye internte cafe tu . Au do mean tuikosea hata kugharamia kwamkopo mradi wa fiber optic? Muulize RC yeyote wanategmea FIber optic italetafaida gani kwenye mikoa yao .

But kama wewe ni mchumi naweza kukuelewa lol




Mdondoaji kama uko well infomed utaelewa kuwa ICT ni zaidi ya internet .Internet ni key lakini its not the only driving force.Nitakupa mfano.

kama mtalamu naweza kushauri kuwa wanafunzi wa shule za sekodary (wanafeli sana hesabu Wich is true true ) na kuna shule hazi na walimu wa hesabu basi napendekeza kuchukua na kuziwea video
kama hii hapa kwenye CD/DVD then kuzigawa kwa shule au wanafuzi. Zaidi ya yale waliyofundishwa Video hizi zitajazia.Hata kama shule haina internet Ni kaasi cha kuwa na VIdeo room tu.Aways kuna work arroundou hata ama hakuna intenet . Anahitajika mshauri wa kitaallam

As a serius but somehow expensive project unaweza kupendeka zitengezzwe video kama hizo na walimu wa tanzania.for sure Video kama hizo zitageuza japo F 20 kuwa D au C .

Je wahusika wanataarifa ya resouces hizi? Je wanajua hataka kama hkauna internet bado inawezekanakuzinakwenyesimuna TVna kuboresha huduma kadhaa ? Hapo sasa ndio ushauri wa kitaalam unapokuja. Mambo ya cordiantion na awareness hakuna ........ Wanafuzi/Wazazi/Shule/Mawaziri etc wengi hawajui kuwa Video DVD si lazima iwe ya kanumba tu. inaezekana hata kutazama DVD ya trigonometryauProbabiity kwene TV ya nyumbaniau shuleni





Hii la umeme ni excuse ya Kisiasa zaidi. Mini nasema nasikitika Nikiona bado mpaka leo mwanfuzi tenawa mjini anasoma practical wa kukariri na wakat huohuo hao wanaisasa wanasema TEKHOHAMA.NAsikitika nikiona Detail za tanzania kwenye googe hazijashiba( Ramani ziko makabatini).list goes on ............



Kwa hayo machache Mdondoaji hizo sio fikra za kimweri ni kuondoa mawazo ya kisasa tu .Waweke hata mkoa michache ya majaribio. Tena hapa dar naweza kujitolea kuonyesha how shule ambazo hazifanyi vizuri zinaweza kutumia kunufaika fursa zilizopo hatak kama hazina intenet. Then in in just two years with vey minium cost utapata majibu.

Internet is network of networks, watu wasi confuse hivi vitu.
 
Mkuu,

Speaker huyo professa hajakuwa muwazi na facts unapozungumzia Rwanda wenzio washaweka fundamentals tayari sasa hivi wanaelekea katika technology. Last week wamenunua bandwith ya fiberoptic of up to 1.2GB per second. But huyo professa wenu anasahau inflation Rwanda is 7% Tanzania inflation is 20%. Rwanda development index is very high wamejenga barabara ya lami hadi vijijini. Tanzania mji mkuu wa biashara Dar-es-Salaam hauna lami jiji zima. We rank lower katika corruption and development despite the fact we are growing economically. Rwanda GDP is growing by 8% ours is growing by 7%. Literacy rate Rwanda is high sisi inaporomoka kila siku.

Rwanda wana haki ya kuanzisha cloud computing kwasababu washaweka misingi tayari.

Unfortunately, hapa hakuna hata sababu moja inayozuia nchi hii kuwa na maofisa ICT kama Zing alivyoshauri.:)
 
Si Mbeya tu! Kote mikoani na wilayani huenda pia na wizarani hao walioajiriwa si lolote si chochote ndio maana Serkali ilalipa pesa nyingi kwa wataalamu kutoka nje kwa ajili ya kazi za ICT!!!
Hii ndio Tanzania
Tengenezeni ajira mjiajiri
 
Nimekusoma mkuu, ICT katika nchi yetu ni muhimu sana lakini serikali imelala kama vile haitambui dunia inavyobadilika kwa kasi, nilikuwa nasoma kwenye mtandao mmoja juu ya maendeleo ICT huko kwa wenzetu wanaojali ukuaji wa ICT, nikakutana na program moja inayoendeshwa huko Russia kwenye shule za msingi hadi vyuo vikuu, hii programu inaitwa Russian Plastic Logic, hii ni tekinologia ya usomaji kwa kutumia pad maalum, nahisi maelezo yangu hayatajitosheleza kama vipi anayetaka kujua kuhusu hii tekinologia anaweza ku-google neno "Russian Plastic Logic e-Reader" au The Plastic Logic 100 e-Reader Debuts in Russia – Finally | Good E-Reader - ebook Reader and Tablet PC News
 
Mkuu naomba nichukue fursa hii kukutaarifu kuwa karibu mikoa yote Tanzania ina watu wa ICT na baadhi ya Halimashauri zadi ya 66 inao. mimi nina jamaa zangu ni ma ICT huko, ila wanalalamika kuwa serikali haitilii mkazo kazi zao na hata watu wa halmashauri hawawapi ushirikiano wowote. Hata bajeti kwa ajili ya kuendeshea shughuli zao ni kazi. Hebu nakuomba ufanye utafiti uthibitishe haya niliyosema.
 
Si Mbeya tu! Kote mikoani na wilayani huenda pia na wizarani hao walioajiriwa si lolote si chochote ndio maana Serkali ilalipa pesa nyingi kwa wataalamu kutoka nje kwa ajili ya kazi za ICT!!!
Hii ndio Tanzania
Tengenezeni ajira mjiajiri

Nafikiri tatizo sio kujiajiri tatizo ni kwanini uwepo mkonga wa taifa ulitumia mabilioni wa sh, harafu usitumike?
Pia nafikiri kila mkoa kuna engineer wa mkoa huyu mara nyingi huwa ni civil ama mechanical engineer ningependekeza kama ni civil ama mechanical basi msaidizi wake awe ICT kama engineer wa mkoa ni ICT basi msaidizi wake awe civil, vivyo hivyo kwa wilaya. Hapo nadhani hawatatengeneza ajira mpya kwa kisingizio cha bajeti.
 
Mkuu naomba nichukue fursa hii kukutaarifu kuwa karibu mikoa yote Tanzania ina watu wa ICT na baadhi ya Halimashauri zadi ya 66 inao. mimi nina jamaa zangu ni ma ICT huko, ila wanalalamika kuwa serikali haitilii mkazo kazi zao na hata watu wa halmashauri hawawapi ushirikiano wowote. Hata bajeti kwa ajili ya kuendeshea shughuli zao ni kazi. Hebu nakuomba ufanye utafiti uthibitishe haya niliyosema.

Tatizo hawapo katika level inayowarushusu kutoa ushauri ukasikilizwa. Katika vikao vya maeedelo vya mkoa/wilaya wataenda afisa wa elimu wa afya ,Kilimo etc kulingana mamagement postion zao hakuna Afisa wa IT yet we expect Maajabu yaje tu. Wawaweke washindwe kazi tujue moja
.

Hapo kwenye nyekundu, unaweza kupaelezea kidogo? mbona hiyo kitu ndogo sana.

Ndo hapo sasa Kama ni tier 1 kwani Tanzanaia kwenye tier1 unaweza kupata maximum ya kiasi gani.Ebu tumuulize mchumi mdondoaji.
 
Nafikiri rudini kwenye bajeti za halmashauri zenu huko Tanzania na kupitia ripoti za mkaguzi mkuu wa Serikali JMTz (CAG Tz) utaona kuna upotevu mkubwa sana wa fedha za umma katika Halmashauri. Hizi nyingi sana zipo kwenye wafanyakazi hewa, mikataba mibovu ya halmashauri na mengine mengi sana.

Sasa mimi ningeona kama Serikali yenu ingekuwa makini walitakiwa wafikirie kuajiri watu makini sana hususan kila halmashauri kuwa na Internal oditor na Mwanasharia ili kuhakikisha mikataba yote inafuata sheria za nchi yenu lakin vile vile kukagua matumizi ya halmashauri kupitia kwa mkaguzi wa ndani kabla kuja wale wa CAG.

ICT inatumiwa na watu wachache sana huko Tanzania. Nafikiri kama ukitembelea halmashauri mbalimbali hutaweza kuona kama wana computer zinazofika 15 kijumla. Na nafikiri hakuna networking zozote zile katika halmashauri wala internet. Kila mtu anatumia modem.

Kumbuka kuwa ili huyo mtaalamu wa ICT aweze kufanya kazi vizuri ni lazima kuwe na mtandao mzuri wa network baina ya Mkurugenzi, mtendaji wa kata mpaka kufikia kwa mtendaji wa mtaa/ kitongoji /kijiji. Kwani huko ndio zinakoanzia serikali kupitia kwa wananchi.

Kwa mantiki yako nasimama pale pale kama bado hakuna mtandao wa mawasiliano ya ICT baina ya mkurugenzi (DED) kwenda kwa watendaji wake wa kata na vijiji/mtaa/kijiji hakuna haja kuwa na ICT officer katika halmashauri.

Ni vizuri wawa ajili waalimu katika skuli za primary au secondary wa ICT katika kutoa technology hiyo kwa umma na watatoa ushauri pale inapobidi katika sehemu zao.

Nashauri angalieni vipaumbele kabla kufikiria kupapia mambo makubwa wakti uwezo wenu kiuchumi ni mdogo mno.
 
Nafikiri tatizo sio kujiajiri tatizo ni kwanini uwepo mkonga wa taifa ulitumia mabilioni wa sh, harafu usitumike?
Pia nafikiri kila mkoa kuna engineer wa mkoa huyu mara nyingi huwa ni civil ama mechanical engineer ningependekeza kama ni civil ama mechanical basi msaidizi wake awe ICT kama engineer wa mkoa ni ICT basi msaidizi wake awe civil, vivyo hivyo kwa wilaya. Hapo nadhani hawatatengeneza ajira mpya kwa kisingizio cha bajeti.

Nilipo RED kuna mushkira kidogo.

Kwa mujibu wa muundo wa utawala wa Mikoa . Hakuna Engineer wa Mkoa . Mara nyingi Engineer wa Mkoa anakuwa ni yule wa TanRoad ambao hawako chini ya utawala wa Mkoa.

Engineer waliopo ni wale wa Halmashauri/ manispaa nao wanakuwa chini ya DED.Nao wanakuwa katika idara za ujenzi na maji.

naomba nikosolewe kama nitakuwa nimepotoa kwani hizo kwa mujibu wa kumbukumbu zangu katika mfumo huo wa sasa.

 
For you glimpse information Mkuu,

I have a PhD in Economics from one of the top university in the world ambayo nimeipata karibuni, a Masters degree in Economics from one of the top three universities in the world, another Masters degree also from one of the top university in the world na Degree ya kwanza nimeipata Dar hapo. Bado nina degree nyengine ya kwanza nimeisomea hapo Dar. So I happened to know pretty well what I am talking about.

Mkuu hatuwezi kuruka kabla ya kutembea efficiency comes after building a very solid fundamentals. Nyie mnajipigia debe kampuni zenu na profession zenu but mnasahau Tanzania bado haina solid fundamentals. Kaeni mfikirie kwanza vp tutatua tatizo la umeme, tutaweza kufundisha watu wakawa na elimu ya kutosha. Watu ambao ndio watumiaji wa hizo computer mnazozipigia debe hapa na umeme. Nyie mnawaza ICT wakati umeme wa computer hamna je hizo Computer zenu mtawasha na mafuta ya taa??? Au hao watu laki sita mtawasambaza Tanzania nzima ndio watumie computer halafu watu milioni 44.4 wawe watazamaji tu??? Leo hii watoto wetu wanaomaliza darasa la saba wanaenda form one hawajui hata kusoma na kuandika. Sasa watoto hao watakuja kweli kuelewa DOS-Language 01010101 au SQL Language, au C++++ ?

Hebu jiulizeni vizuri kwanza.

@Mdondoaji & barubaru, naona kama mnachanganya economics na ICT. Na pia naona mnatumia nguvu nyingi sana ku-address tatizo ambalo ni wazi na halihitaji PhD ya aina yoyote. Hebu tujiulize, Ni kweli Tanzania nzima haina umeme? Hakuna Wilaya ambazo zina umeme? Na kwenye Wilaya ambazo umeme unapatikana mfano Dar es Salaam 'leverage' ya ICT ikoje? anachojaribu kuongea Zing na Narubongo ni Leverage ya ICT.

Kwa taarifa nilizo nazo Mikoa yote Tanzania sasa hivi imeshaunganishwa kwenye mkongo wa Taifa! Kama ndivyo swali ni je, unatukimaje huo mkongo? Kwa maneno mengine mkongo (fibre optic) una faida gani na sisi Tanzania? tumevuna nini tangu tuwe na mkongo wa taifa? Kama kuna sehemu ambazo hazina umeme ni tatizo moja, lakini kwenye wilaya zenye umeme mambo yakoje baada ya kuwa na huo mkongo wa Taifa?

Hoja kwamba hakuna umeme ni kukata tamaa! Kutokuwepo kwa umeme Tandahimbia kunazuiaje kuimirisha ICT Wilaya ya Ilala? Kwa maneno mengine, serikali inaweza kuanza na Wilaya chache then wakapambua wigo huko mbeleni, lakini hatuwezi kukaa chini kusubiri umeme ufike kila kona ya nchi ndio tuanze sasa ku-exploit ICT! Mawazo kama haya hayatasaidia hata kidogo.

Ukipata nafasi soma sehemu ya report iliyoandaliwa na World Economic Forum.
Hii hapa:

1. Over the past decade, The Global Information Technology Report series, has become the most comprehensive and respected international assessment of the preparedness of economies to leverage the networked economy. This research provides a unique platform for public-private dialogue on best policies and for determining what actions will further national ICT readiness and innovation potential.

Through the evolved methodological framework of the Networked Readiness Index (NRI), The Global Information Technology Report 2012 measures the extent to which 142 economies take advantage of ICT and other new technologies to increase their growth and well-being. This year, Sweden tops the rankings, followed by Singapore and Finland.

Under the theme Living in a Hyperconnected World, the report features expert contributions that explore the causes and consequences of living in an environment where the Internet is accessible and immediate, where people and businesses can communicate instantly, and where machines are interconnected.

Last year, the report found that although African nations lagged the global mean of networked readiness, many nations showed a glimmer of hope across various sub-categories. The same remains true this year, although most African nations fell in the global rankings. As a region, Sub-Saharan Africa tends to do best in terms of government prioritization of ICT and impact of ICT on new services and products. Still, much of SSA can be found at the bottom of most sub-categories.


Africa summary (page 24-26):


The level of ICT readiness in sub-Saharan Africa is still very low, with most countries evidencing strong lags in connectivity because of an insufficient development of ICT infrastructure, which remains too costly. Low levels of skills that do not allow for an efficient use of the available technology add to the challenges these countries face if they are to increase ICT uptake. Moreover, most countries still suffer from poor framework conditions for business activity that, coupled with the above-explained weaknesses, result in poor economic impacts that hinder the much-needed transformation of the region toward less resource-extraction-oriented activities and higher-value-added production. Nine out of the last 10 countries in our sample belong to the region and the results evidence the digital divide the region suffers vis-á-vis more developed regions.


o Tunisia (50): Leads North Africa in the rankings. Government commitment to ICT plus good educational system, but worse affordability and infrastructure level.
o Mauritius (53): The only SSA economy in the top half of the rankings. Government has prioritized ICT growth – regulatory framework is in good shape. Infrastructure is lacking, but is becoming more affordable. Still, economic and social impacts of ICT access are low.
o South Africa (72): Dropped from 61st to 72nd in the rankings due to lack of skills availability and relatively high costs of access. The economic benefits of ICT are decent, but greatly outweigh social impacts.
o Egypt (79): ICT is very affordable (12th in world) and offers a range of services. However, the overall ranking is hurt by the lack of ICT uptake.
o Rwanda (82): ICT usage remains low due to expensive infrastructure and a lack of ICT skills. Business usage is much more common than individual ICT usage. PPPs are recommended to improve framework conditions.
o Morocco (91) and Algeria (118): Lag the rest of North Africa, especially in economic ICT metrics. Algeria has an unfavorable business environment for ICT growth.
o Cape Verde (81), Botswana (89), Kenya (93), Ghana (97), Senegal (100), The Gambia (101), Namibia (105), Zambia (109), Uganda (110), Nigeria (112), Malawi (116), Benin (117), Mozambique (120), Cote d’Ivoire (122), Tanzania (123): A similar story to other African nations – a lack of both skills and infrastructure.
o Zimbabwe, Cameroon, Lesotho, Madagascar, Burkina Faso, Swaziland, Burundi, Chad, Mauritania, and Angola: Range from 124th to 141st position and severely lack ICT conditions and ICT impacts.


Year-over-year NRI rank change:

All African nations except Cape Verde have dropped in networked readiness. Largest drops were The Gambia (25 places), Namibia (23 places), and Senegal (20 places). Other African nations only dropped slightly, but the indication is that ICT readiness in other global regions outpaced that in Africa.

o Tunisia (down from 35 to 50)
o Mauritius (down from 47 to 53)
o South Africa (down from 61 to 72)
o Egypt (down from 74 to 79)
o The Gambia (down from 76 to 101)
o Senegal (down from 80 to 100)
o Kenya (down from 81 to 93 after improving 9 places the year before)
o Namibia (down from 82 to 105 after improving 7 places the year before)
o Malawi (down from 105 to 116)
o Mozambique (down from 106 to 120)
o Uganda (down from 107 to 110)
o Mali (down from 120 to 126 after dropping 24 places the year before)
o Lesotho (down from 121 to 133 after falling 14 places the year before)
o Burkina Faso (down from 122 to 135 after losing 14 places in 2011)
o Mauritania (down from 130 to 139 after falling 28 places the previous year)
o Angola is now the SSA nation with the lowest networked readiness (down from 133 to 140).
o Swaziland (down from 134 to 136)
o Burundi and Chad held the final two spots of the 2011 report, but are now in 137th and 138th places, respectively. Of all 142 nations included in the report, only Yemen and Haiti rank lower in terms of overall ICT readiness.



Sub-Pillars (pages 324-381):

ICT adoption in North Africa and South Africa tends to match global norms in many areas. Rwanda and Senegal have governments that prioritize ICT and economies that respond to ICT. However, most SSA nations are lacking in all areas of ICT.

o 1.02. Laws relating to ICT – South Africa, Rwanda, Tunisia, Mauritius, Kenya are ahead of the global mean
o 1.06. Intellectual property protection – South Africa, The Gambia, Rwanda, Namibia, Botswana are above global mean
o 1.07. Software piracy rate – Of 107 nations with data, Zimbabwe is the second-highest (93% of installed software is unlicensed)
o 2.02. Venture capital availability – Above average in Kenya, Morocco, Tunisia, Rwanda, Egypt, South Africa, Botswana, Mauritius
o 3.03. International Internet bandwidth per user – very low in SSA, non-existent in Chad, Burundi
o 3.05. Accessibility of digital content – Senegal is highest in Africa (and only African country above global mean) at 64th. Burundi and Chad lag other nations by a large amount.
o 4.02. Fixed broadband Internet tariffs (monthly sub. charge (PPP $) – Malawi, Ethiopia, Swaziland are again bottom three: $1,248-1,420 (actually cheaper than last year)
o 4.03. Internet and telephony sectors competition index – Ethiopia is tied for least competition in the world
o
o 6.02. Internet users – Morocco leads Africa with 49% (49th place), then Tunisia 37% (71st place). All of SSA is in the bottom half globally, led by Nigeria at 28% (85th place).
o 6.03. Households with a personal computer – last place Rwanda at 0.5%. Ethiopia (last place a year ago) is now at 1.4%.
o 6.04. Households with Internet access – Benin is in last place, just behind Rwanda at 0.1%. No SSA nation is above 10%.
o 6.05. Fixed broadband Internet subscriptions – 14 African nations have below 0.1 subscription per 100 population. Only Mauritius is above 5%.
o 6.06. Mobile broadband Internet subscriptions – General lack of data for African nations
o 6.07. Use of virtual social networks – Tunisia (19th), Morocco (44th), Egypt (56th), Nigeria (66th), Mauritius (74th) are above the global mean. Burundi, Chad, and Ethiopia especially lag other nations.
o 7.02. Capacity for innovation – Tunisia (44th), South Africa (46th), Nigeria (54th), Tanzania (55th) all are ahead of the global mean. Angola has the lowest mark of any African nation.
o 7.04. Extent of business Internet use – highest in South Africa (46th), Senegal (50th), Kenya (70th).
o 8.01. Government prioritization of ICT – Rwanda ranks #3 in the world (only behind Singapore and Sweden). Tunisia (21st), Senegal (23rd), The Gambia (25th), and Cape Verde (26th) also lead on a global level. Interestingly, Mali is ahead of the global mean (54th place).
o 8.03. Government Online Service Index – Egypt (23rd), Tunisia (29th), Angola (63rd), Cote d’Ivoire (67th) round-out the upper half. Swaziland is in last place with an index of 0.00.
o 9.01. Impact of ICT on new services and products – Rwanda (39th), Senegal (43rd), Tunisia (50th), Nigeria (53rd), Kenya (56th), South Africa (57th), Mauritius (62nd), Cape Verde (65th) all are above the global mean.
o 9.04 Employment in knowledge-intensive activities – Still no data for most of Africa.
 
@Mdondoaji & barubaru, naona kama mnachanganya economics na ICT. Na pia naona mnatumia nguvu nyingi sana ku-address tatizo ambalo ni wazi na halihitaji PhD ya aina yoyote. Hebu tujiulize, Ni kweli Tanzania nzima haina umeme? Hakuna Wilaya ambazo zina umeme? Na kwenye Wilaya ambazo umeme unapatikana mfano Dar es Salaam 'leverage' ya ICT ikoje? anachojaribu kuongea Zing na Narubongo ni Leverage ya ICT.

Kwa taarifa nilizo nazo Mikoa yote Tanzania sasa hivi imeshaunganishwa kwenye mkongo wa Taifa! Kama ndivyo swali ni je, unatukimaje huo mkongo? Kwa maneno mengine mkongo (fibre optic) una faida gani na sisi Tanzania? tumevuna nini tangu tuwe na mkongo wa taifa? Kama kuna sehemu ambazo hazina umeme ni tatizo moja, lakini kwenye wilaya zenye umeme mambo yakoje baada ya kuwa na huo mkongo wa Taifa?

Hoja kwamba hakuna umeme ni kukata tamaa! Kutokuwepo kwa umeme Tandahimbia kunazuiaje kuimirisha ICT Wilaya ya Ilala? Kwa maneno mengine, serikali inaweza kuanza na Wilaya chache then wakapambua wigo huko mbeleni, lakini hatuwezi kukaa chini kusubiri umeme ufike kila kona ya nchi ndio tuanze sasa ku-exploit ICT! Mawazo kama haya hayatasaidia hata kidogo.

Ukipata nafasi soma sehemu ya report iliyoandaliwa na World Economic Forum.
Hii hapa:



FJM,

Kumbuka kuwa bottom line ya kila kitu katika maendeleo binafsi au hata ya jumla ni kupata Fedha, kwa mantiki hiyo uchumi unasimama pasi na shaka yoyote.

Kumbuka kuwa mtazamo wetu na Mdondoaji ni wa kiuchumi zaidi na sio kisiasa. Tunaangalia je mtu huyo ukimwajili je ataweza ku deliver katika mazingira ambayo tanzania ipo.

Je nini kusudio zima la ICT katika serikali za mitaa hususan katika Halmashauri? Utaona ni lazima kuwe na mawasiliano yaliyo ya karibu baina ya Mkurugenzi ambaye ndio mtendaji mkuu kwenye Halmashauri na Watendaji wake katika Kata na Mtendaji wa Kijiji/kitongoji/ mtaa. sasa tujiulize je kuna mtandao wowote uliowekwa tayari wa kuwawezesha watu hawa yaani DED, Mtendaji wa Kata na Mtendaji wa mtaa wa ICT ambao upo tayari? Je ni lini Tanzania itakapoweza kuwaunganisha ofisi zote za Serikali za mitaa za Kata na Za mitaa na afisi ya DED. Hapo nafikiri utafikia mtu wa ICT katika ngazi ya halmashauri hana kazi zozote labda tu kuangalia komputa 10 au chini ya hapo zilizopo kwenye Afisi za DED wilayani ambazo hazijawa connected katika Mtandao. Je mshahara wa mtu huyu utatoka wapi?

Mimi nakubali kama kutakuwa na mtandao mzuri wa ICT kutoka afisi za DED kwenda kwenye afisi zake za watendaji wa kata na Mitaa basi kuna umuhimu wa wataalam hao kwa nia ya kuhakikisha mambo anakuwa sawia wakti wote na mtandao unakuwa reliable.

Lakin nasimama pale pale ni lazima Serikali yenu ihangaike na upotevu mkubwa wa fedha zake katika halmashauri. Na hili limedhihiri kwa sababu halmashauri nyingi huko HAZINA WAKAGUZI WA FEDHA WA NDANI NA WANASHARIA.

ICT OFFICERS NI WAZURi SANA LAKIN KWA SASA HAKUNA MTANDAO KABISA WA KUZIUNGANISHA HALMASHAURI NA WATENDAJI WAKE WA KATA NA VIJIJI. HALMASHAURI NA HALMASHAURI. NA HALMASHAURI NA SERIKALI KUU.

Naunga mkoni maneno na Mwanauchumi Mdondoaji haya

Mkuu hatuwezi kuruka kabla ya kutembea efficiency comes after building a very solid fundamentals. Nyie mnajipigia debe kampuni zenu na profession zenu but mnasahau Tanzania bado haina solid fundamentals. Kaeni mfikirie kwanza vp tutatua tatizo la umeme, tutaweza kufundisha watu wakawa na elimu ya kutosha. Watu ambao ndio watumiaji wa hizo computer mnazozipigia debe hapa na umeme. Nyie mnawaza ICT wakati umeme wa computer hamna je hizo Computer zenu mtawasha na mafuta ya taa??? Au hao watu laki sita mtawasambaza Tanzania nzima ndio watumie computer halafu watu milioni 44.4 wawe watazamaji tu??? Leo hii watoto wetu wanaomaliza darasa la saba wanaenda form one hawajui hata kusoma na kuandika. Sasa watoto hao watakuja kweli kuelewa DOS-Language 01010101 au SQL Language, au C++++ ?

Hebu jiulizeni vizuri kwanza
.
 
Siungi mkono hoja, hii itaongeza mzigo kwa serkali. Hawa maafisa habari utamaduni na maichezo ndio wawe na kazi yakuintergrate informations toka idara zote ktk wilaya na kuziweka kwenye soft copy. pia watengeneze na update website ya wilaya c ndo kazi ya habari. Kama ni incompetents ondoa weka new blood

Ndugu yangu kazi ya IT sio hiyo ya uafisa habari unayoitaja. IT ni professional ya mhimu sana sio kama unavoifikilia wewe. Nakuambia ingekua kuna IT technician wa kutosha kwenye kila halmashauri za wilaya na mikoana tusingekuwa na hati chafu au hati chafu zingepungu maana kila kitu kingekuwa automated. Na serikali inajua kabisa ukipeleka IT wilayani ulaji kupitia miradi utakua umekwisha so ndo maana wanaziba maskio ili ndugu zao waendelee kukwiba tu.
Hao maafisa habari utamaduni na maichezo wafanye kazi zao za kuinua vipaji na sio kazi za kuapdate website wala sio kazi za IT, hivi wewe unadhani IT wanahitajika kwenye hizo halmashauri kwa ajili ya kuapdate habari za utamaduni? Kukiwa na IT kwanza kila wilaya inaweza kuwa na accounting package ambayo itasaidia ktk kumonitor budget kuliko sasa ambapo kila kitu kiko kwenye mafaili pia itasaidia sana kuwasaidia hata hao ma afisa utamaduni ambao mara ya mwisho kushika komputa ni siku walipokua vyuoni wanasoma somo la IT. Hakuna cha new blood wala old blood in short and loud and clear maafisa habari utamaduni na maichezo hawawezi kufanya kazi za IT professional hata kwa 000000.1%
 
Najua JK na wanasiasa wengi wa CCM CDM CUF NCRR, etc wanatambua umuhimu wa TEKNOHAMA kuleta maedeleo ya uchumi na uboreshji huduma mbali mbai mbali za kijamii na upatikanaji wa taarifa .

Lakini maendeleo na ma mabadiliko ya kweli hayawezi kuja bila kuwepo na uongozi , usimamzi,uratibu na ushauri kutoka kwa watu wenye utaalam.

Ndio maana kwenye Mikoa na wilaya kuna maofisa wa kilimo, Elimu,Afyaa Uhandisi,Mifugo ,nk Sababu hiyo hiyo karne hii ni muhimu kuwa na maofisa ICT .Kwa kushirikiana na hao maofisa wengine kwenye Mikoa/wilaya hata mambo kama elimu yanaweza kusonga mbele kwa kasi

Kama Kweli CCM ,JK na wanasiasa wanataka Tanzania ifaidike zaidi na kutumia vizuri fursa za TEKNOHAMA na internet na miradi kama ya mkonga wa taifa iwe namanufaa zaidi basi ni wazi na muhimu kila mkoa na wilaya kunatakiwa kuwa na maofisa Wakuu mwenye utaalam wa mambo ya ICT. Bila hivyo faida Mkonga wa taifa na fursa nyingine zitaishia kwenye Internet cafe tu na kuisihia kuwaona wanasiasa wetu wakishilkilia Ipad bungeni.

Maenedeleo ya ya ICT hayabadiliki kwa bajeti kusomwa kwa Ipad au ukwenye kwenye dafatari......

  • Maedeleo ya ICT yatakuja pale shule isyokuwa na maabara kiwa na video/VIsual room yawanafunzi kuona experiment mbalimbali mbali ziizorekodiwa.
  • Maendeleo yata kuja pale makataba zisizokuwa na vitabu na zinazkufa kwa kutokuwa na machapisho latest zikiwanauwezo wakuapata machapisho ya afya,elimu,uhandisi kutoka maktaba za online duniani kwa muda muafaka


WAJIBU WA MAOFISA ICT WA MKOA NA WILAYA


  • Kwa utaalamu walionao watatakiwa kutoa ushauri kwenye taasisi za umma(Kama shule,Maktaba) hata binafsi jinsi gani wanaweza kufaidika na na TEKNOHAMA na jisni gani wanaweza kuwezesha. So far matamko mengi yanatolewa ni ya wanasisa na kisiasa. Vijana/Watu wenye uwezo na ufahamu wa haya mambo hawajapewa nafasi .Ndio maana tunasikia maneno kam kila mwanafuzi kupewa kopmyuta.....
  • Watatakiwa kutoa report za mafanikio na changamoto za TEHAMA katika kila mkoa au wilaya na mapendekezo nini kifanyike kiboreshwe
  • Watashirikiana na waratibu wahuduma hizi kama TRCA na watoa huduma kama makampu ni ya simu na ISP katika kuependekeza namna bora ya kutoa hduma mbali mbali

Hayo ni baadhi tu .......


Nakuunga mkono zing. Hii inaendana na nia ya rais ya kufanya shule zote ziwe na mfumo wa kujifunza kutioka kwa mwalimu mmoja mtaalamu wa somo fulani katika mpango ambao rais aliutaja kwamba unaitwa:Tanzania beyond tomorrow'
Sijui huu mpango umeishia wapi. Yote yanahusu ICT
 
Ndugu yangu kazi ya IT sio hiyo ya uafisa habari unayoitaja. IT ni professional ya mhimu sana sio kama unavoifikilia wewe. Nakuambia ingekua kuna IT technician wa kutosha kwenye kila halmashauri za wilaya na mikoana tusingekuwa na hati chafu au hati chafu zingepungu maana kila kitu kingekuwa automated. Na serikali inajua kabisa ukipeleka IT wilayani ulaji kupitia miradi utakua umekwisha so ndo maana wanaziba maskio ili ndugu zao waendelee kukwiba tu.
Hao maafisa habari utamaduni na maichezo wafanye kazi zao za kuinua vipaji na sio kazi za kuapdate website wala sio kazi za IT, hivi wewe unadhani IT wanahitajika kwenye hizo halmashauri kwa ajili ya kuapdate habari za utamaduni? Kukiwa na IT kwanza kila wilaya inaweza kuwa na accounting package ambayo itasaidia ktk kumonitor budget kuliko sasa ambapo kila kitu kiko kwenye mafaili pia itasaidia sana kuwasaidia hata hao ma afisa utamaduni ambao mara ya mwisho kushika komputa ni siku walipokua vyuoni wanasoma somo la IT. Hakuna cha new blood wala old blood in short and loud and clear maafisa habari utamaduni na maichezo hawawezi kufanya kazi za IT professional hata kwa 000000.1%

Kwani wataalamu wa IT siku hizi wamekuwa wahasibu mpaka kuzuia hati chafu?

Kumbuka kuna programs maalum za wahasibu ambazo bila kwenda darasani huwezi kuzifahamu na kuzitumia. Mtu wa IT bila kufundishwa na wahasibu hawezi jua lolote katika programs hizo.

 
Nakuunga mkono zing. Hii inaendana na nia ya rais ya kufanya shule zote ziwe na mfumo wa kujifunza kutioka kwa mwalimu mmoja mtaalamu wa somo fulani katika mpango ambao rais aliutaja kwamba unaitwa:Tanzania beyond tomorrow'
Sijui huu mpango umeishia wapi. Yote yanahusu ICT

YEs JK kwakweli ameonyesha nia ya dhati Kisiasa .

Lakini hiyo nia ya dhati bila kuwa na wataalam katika ngazi ya ushauri au management ile hatua muhimu ya technical How to achive specific objective itakuwa ngumu au itakuja kwa kubatisha bahatisha.

Kuna watu wanasema hao watalaamu wapo.Sidhani kama wapo. Hawapo katila level ya uongozi. Kuna tofauti ya majukumu wajibu na utendaji kati ya IT specialist na Regional Director of ICT wa mkoa. mmoja anaweza hata kuandika kiofisi ushauri kwa waziri mkuu au raisau hata Kuongea naye.

So nadhani Mipango kisiasa haijaishi lakini inakosa nguvu na msukumo na DIRA sababu hakuna structure sahihi
.
 
Back
Top Bottom