Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Hana lolote huyu, hivi tangu lini Mwizi akawa na busara? Cheap popularity danganya toto. Ataifishe mitambo ya Dowans na kwafilisi rafiki zake RA, EL, Chenge na kumshitaki Mkapa kwa kufanya biashara Ikulu na kuhujumu uchumi wa TZ.
Afute na kurekebisha mikataba ya madini kama alivyoahidi alipokuwa London.
Afute na kurekebisha mikataba ya madini kama alivyoahidi alipokuwa London.