chitulanghov
Member
- Dec 22, 2011
- 38
- 16
Baba Mwanaasha
1. Aliingia kwa demkrasia ya kutukana watangulizi wake kwa kutumia magazeti leo kanuna mwenyewe. BWM alikuwa mchapa kazi akamwachia hazina ya kutosha lakini huyo mwanademocrasia kazitafuna zote!
2.Kabla ya Democrasia yake hatukuwa tumegawanywa kidini kama sasa leo tanzania yenye udini inawezekana.
3. Chini ya BWM uchumi uliimarika lakini leo mambo shghabaghala
4. Aliahidi kuwavua watu magamba holaaa! HAKUJUA KWAMBA MTI BILA GAMBA UNAKAUKA!
5. Aliingia akiwa HANDSOME sasa uso umezeeka
TANZANIA BILA DEMOCRASIA INAWEZEKANA
1. Aliingia kwa demkrasia ya kutukana watangulizi wake kwa kutumia magazeti leo kanuna mwenyewe. BWM alikuwa mchapa kazi akamwachia hazina ya kutosha lakini huyo mwanademocrasia kazitafuna zote!
2.Kabla ya Democrasia yake hatukuwa tumegawanywa kidini kama sasa leo tanzania yenye udini inawezekana.
3. Chini ya BWM uchumi uliimarika lakini leo mambo shghabaghala
4. Aliahidi kuwavua watu magamba holaaa! HAKUJUA KWAMBA MTI BILA GAMBA UNAKAUKA!
5. Aliingia akiwa HANDSOME sasa uso umezeeka
TANZANIA BILA DEMOCRASIA INAWEZEKANA