meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
nasita kukubaliana na wewe kwa sababu hili wimbi la freedom of expression limeikumba dunia nzima kwa hiyo hata kama ni wewe ungekuwa unaongoza mambo yangekuwa hivi,ni mfumo wa kidunia.
Naunga mkono hoja!!Tatizo siasa za Tanzania zinahitaji uelimishaji sana kwa wananchi!Watu wakishakuwa against na wewe hata ufanye nini wataendelea kukuponda tu!Kwa democracy Jamaa amejitahidi na atabaki kuwa mfano wa kuigwa!!
Nawasilisha!!
Ulu ulishamuuliza Jenerali ulimwengu dhama zake wakati wa mzee BWM hali likuwaje,yaliyomtokea usingesema haya,kama ulikuwa mfuatiliaji wa magazeti ya RAI basi usingesema haya ya kuwa hiyo ni haki yako.Unajua haki ipo siku zote lakini haki hiyo inatendeka?
Na hakika JK anagombana sana na wasaidiz wake nikimaanisha watawala wa Serikali na chama chake kwa uhuru huu wa habari ambao wao wnaona kama umekithiri na kuleta changamoto kubwa sana kwenye utawala kwa kuwa Wananchi husika wako well informed na mambo mengi yanayoendelea ndani ya Taifa na ndani ya Serikali.
Subiri matusi sasa.
Umesema kweli kwa kiasi flani Mkuu, binafsi nakuunga mkono! Ila kwann umemuita "Baba Mwanaasha"?
.Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi.Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea,Uhuru wa media umeboreka,maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk.hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.Ndiyo yaliyo mng'oa Gadafi japo alifauru sana katika nyanja ya uchumi.
wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.
...Unataka kusema waandishi wa habari wako huru zaidi sasa? Kubenea na Ndimara walimwagiwa tindikali kipindi cha Mkapa au Kikwete? Ni ktk utawala wa nani gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa kwa siku 90? Na ya Jerry Muro je? Nini hasa sababu ya Prof. Baregu kutopewa mkataba UDSM?
Kuna demokrasia kweli kama waziri maisha yake yanakuwa hatarini kwa sababu ya mambo aliyoyasema au anayoyajua? Analalamika kwamba kuna watu wana njama za kumuua na hatua hazichukuliwi, huku sio kufungana midomo?
Kwa nini Tirdo Muhando alinyimwa mkataba mpya kimizengwe pamoja na kazi nzuri aliyoifanya TBC? Mhariri na mwandishi wa Tanzania Daima pamoja na Mkurugenzi wa kampuni ya Mwananchi wana kesi mahakamani kwa "uchochezi", huu ni utawala wa nani? Demokrasia iko wapi ktk haya?
Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi.Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea,Uhuru wa media umeboreka,maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk.hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.Ndiyo yaliyo mng'oa Gadafi japo alifauru sana katika nyanja ya uchumi.
wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.
Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi.Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea,Uhuru wa media umeboreka,maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk.hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.Ndiyo yaliyo mng'oa Gadafi japo alifauru sana katika nyanja ya uchumi.
wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.
we mwenyewe umemwita baba mwanaisha! Badala ya kumwita mh JAKAYA, ni dalili ya kumdharau. Jk hana lolote kachemka 2.
Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi.Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea,Uhuru wa media umeboreka,maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk.hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.Ndiyo yaliyo mng'oa Gadafi japo alifauru sana katika nyanja ya uchumi.
wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.
Mimi sikubaliani nawe kuhusu swala la demokrasia. Nafikiri Demokrasia iliananza kukua wakati wa Mkapa na Kikwete hakuwa na jinsi ya kuistop kwa mahala ilipokuwa imefikia. Kam ni kusema watu wamesema sana humu na viongozi walichambuliwa sana humu kabla ya uchaguzi wa 2005. Kama unayotaka kusema ni kweli kwa nini kuna magazeti yamefungiwa wakati wake na kuna waandishi wa habari wana kesi mahakamani kwa ajili ya kutoa maoni yao binafsi?? Sikumbuki wakati wa Mkapa kama kuna gazeti lilifungiwa au mwandishi wake kufikishwa mahakani kwa ajili ya habari aliyoandika. JF ilifungwa na tukaambiwa humu kuwa wamiliki wamekamatwa wakati huu huu wa JK.
Kitu ninachokuunga mkono ni tabia yake ya walau kusikiliza watu na wapinzani wakati kuna jambo limetokea. Siyo kama Mkapa.