Mmh, hapa ngoja niandike hivi:
"I'm responsible for what I say, I'm not responsible for what u understand"...hahaaaaa
Wewe unakujua vizuri Saudi Arabia? Hakuna maraha hata kidogo sasa Rais ataendaje huko?
Kukoje?
JK hembu tumia muda wako kidogo uende kukamilisha nguzo ya 5 ya uislam huko Makka/Madina. Sio kila uchao we kiguu na njia tu Ulaya hata unachokifanya kuhusu njii hii hakionekani, nenda kajisafishe huenda ikakusaidia sana kuliongoza taifa hili kwa kipindi kilichobakia.
Ningependa kuona unakuwa mmoja wa mahujaji katika kipindi hiki, hasa ukiangalia tayari kuna matishio ya Al-shabab na misukosuko ya nchi za kiarabu, huenda kwa hija hii mambo mengi yakakaa sawa. Usisahau kuwaambia kwamba serikali yako haitambui mashoga pia.
Akienda harudi, JK ni mwizi, fisadi, dhulumati, ana chuki, ana visasi na anaweka sumu kwenye suti za wenzake.
hehehe! Sifa zipi tena za ziada ambazo amekosa? Labda kama Jk ni "Mshirikina" hapo atakuwa hana sifa
angekuwa ngasa kaenda kucheza madina angeenda kumuona.kikwete hata umwambie nakulipia gharama zote hatii mguu madina piga ua.
Em tusubiri tuone utabiri wako km utatimia😏😏Akienda harudi, JK ni mwizi, fisadi, dhulumati, ana chuki, ana visasi na anaweka sumu kwenye suti za wenzake.
Aya sasa,watu wanasema 'time will tell'angekuwa ngasa kaenda kucheza madina angeenda kumuona.kikwete hata umwambie nakulipia gharama zote hatii mguu madina piga ua.