Kuna tabia katika nchi yetu kila Mhe. Rais anapomaliza muda wake wa uongozi hutembelea Mikoa yote na kuwaaga wananchi kwa kuwatakia kila la kheri na uongozi mpya unaoingia madarakani. Safari hii imekuwa kinyume kabisa na sisi bado tuna hamu na Mhe. Rais kuja kutuaga huku Mikoani.
Tafadhali Mhe. Rais njoo utuage na tukupe zawadi mbalimbali.
Tafadhali Mhe. Rais njoo utuage na tukupe zawadi mbalimbali.