<br />hata angesema kitu kingine kiwe cha msingi au si cha msingi kamwe sijafikiria kama ungemuunga mkono mana kazi yako kuu wewe ni kuangalia makosa na wala hujawahi kusema mazuri,KILA PENYE GIZA HUWA MWANGA UNATANGULIA.Mna mawazo mafinyu kama LEMA.