Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

Story za huyu jamaa ni za kwenda kupigia soga kwenye vijiwe vya kahawa labda, zimejaa uzushi na exaggeration za hali ya juu lakini bahati mbaya sana ndio style ya maisha yetu wabongo toka huu mtandao wa kina kikwete uingie madarakani, Rostam na wenzake waliposhika hatamu za uongozi walinunua vyombo vyote vya habari na kuanzisha style ya kuongoza nchi kwa makala za dizaini hii kwenye magazeti, wakafanikiwa kutulemaza na sasa tumelemaa ndio mana watu kama hawa wanaoutumia mwanya huo kutuingizia mabo vichwani mwetu huku wakielewa mtanzania ukimuingizia jambo kichwani na akaliamini kulitoa ni kazi ngumu sana,jamaa anaonekana kufanikiwa kuwapata baadhi yetu humu lakini naamini hatawapata wote kwa wakati wote bali wachache kwa wakati wote au wote (kasoro mimi) kwa wakati fulani!Naelewa CIA wanavyoendesha operation zao,siwezi kuingizwa choo cha stendi kirahisi namna hii aisee!

mi sitaki na nimeamua kuuacha uongo na uzushi huu ulioandaliwa kwa utaalamu wa hali ya juu na mtu anaeijua kazi yake!tumsubiri yule jamaa yake "mtoa tetesi" nae aje na makala yake!
 
Kama CIA wanahusika ktk politics za tanzania na endapo hizi taarifa zina ukweli , basi hii nchi haitakuwa "kisiwa cha amani " time will tell. tumeona yaliyotokea sierra leone , congo na hivi sasa yanayoendelea ktk nchi za kiarabu.

nilichokiona hapa kaka,ni kwamba by any means Lowasa is the next president to come,probably hali itabadilika but as i can see in future atatekeleza mradi uleule wa mabwana wa Kubwa,
 
so what to be done???koz cdm kuchukua nchi 2015 is like mbingu na dunia kwa hali ilivyo sasa,Tiss nayo ndo hivyo tena so what has to be done at all???is like to say hata Tiss hawamamin Rais kama anaweza kuchukua maamuzi mazitoooooo??is that ok?
 
Aisee..!Natamani isiwe kweli.I like being intelligent though I'm afraid of the super intelligency
 
Hii ni tamthilia za kina Kanumba saizi imefika part 2.

Ni nzuri kuna mipasho,udaku,na umbeya..mie nasubiri mpaka ifike part 6 ndio tainunua.
 
Tom Apson si mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa haingii akilini kwamba angejua mambo ya msingi kupitia kwa baba yake eti tu kwa sababu ni mtoto wa aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Idara hiyo ndugu Apson. Tuwe makini na maneno ya mitaani
 
Kama CIA wanahusika ktk politics za tanzania na endapo hizi taarifa zina ukweli , basi hii nchi haitakuwa "kisiwa cha amani " time will tell. tumeona yaliyotokea sierra leone , congo na hivi sasa yanayoendelea ktk nchi za kiarabu.

Mkuu CIA wapo kila mahala. Ni weusi, weupe, Watanzania, wasukuma, wakurya, wamasai, waarabu, wahindi, nk. CIA ni incognito, Omnipotent and Omniscience - Kama Mzee Punch wa enzi hizo!
 
kumbuka mwaka 1995 baada ya Jk kushindwa na Mkapa alikuja viwanja vya biafra kinondoni na kutangaza kuvunja kambi yake na kuwaomba wafuasi wake wote wahamie kambi ya mkapa ili kujenga chama. Mimi ni mmoja wa waliokuwepo uwanjani hapo na vyombo vya habari vingi viliandika msimamo huu kwa hiyo Rostam Aziz kuonekana akiwa na kambi ya mkapa hakuwa amemsaliti yeyote kwani hata Jk aliingia hadhalani mikoa mbalimbali kumpigia kampeni mkapa na yeye Jk alimsaliti nani?
 
Tom Apson si mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa haingii akilini kwamba angejua mambo ya msingi kupitia kwa baba yake eti tu kwa sababu ni mtoto wa aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Idara hiyo ndugu Apson. Tuwe makini na maneno ya mitaani
Mama Porojo hebu soma tena kwa umakini utamwelewa mtoa mada.jiulize mtoa mada anaposema "nakukudanganya" anamaanisha nini kwa mapana yake?
 
ukiunganisha dots katika thread hii unaona kuna watu wanaunganishwa kwamba wanaweza kuunda mtandao mmoja lakini kiukweli hawa watu hawawezi kukaa meza moja na kuaminiana kwa asilimia 100 ili kuweka mpango mkakati mkubwa kama huu kutokana na historia ya siasa za nchi yetu hasa tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza 1992, bila kujali watu hao wako chama kimoja au la. kuuaminisha uuma kwamba sasa kambi hizo zinaaminiana si kweli
 
mtoa mada amechukua majina maarufu na historia ya minyukano ndani ya ccm kutunga mada kwa ufundi mkubwa lakini wenye akili zao watakubaliani nani kuwa baadhi ya watu aliowaweka kundi moja si kweli na hivyo kuifanya habari yenyewe kukosa uzito
 
Huu mtandao una mwisho, lakini kipindi hicho watakuwa wameiacha Tanganyika ikiwa taabani. Kizazi kijacho kitabidi kianze kujenga nchi upya.
Bila kizazi chetu kupigania rasilimali za nchi hii unadhani kizazi kijacho kitaijenga nchi upya kwa kitu gani?

Haitawezekana kuijenga nchi upya juu ya mashimo matupu yatakayoachwa na wezi wa almasi, dhahabu, tanzanite n.k! Mkuu kumbuka wakati kizazi kijacho kinajipanga kuijenga nchi upya hakutakuwa na wanyama ktk mbuga na hifadhi zetu maana wote watakuwa wameshoroshewa mbali na mafisadi! Beach zote zitakuwa zinamilikiwa na mafisadi wachache! Waweza kukuta hata mlima kilimanjaro umeshauzwa! Usicheze na mataifa wezi na wahifadhi wa ufisadi!

Eeh Mwenyezi Mungu isaidie Tanzania.
 
kumbuka mwaka 1995 baada ya Jk kushindwa na Mkapa alikuja viwanja vya biafra kinondoni na kutangaza kuvunja kambi yake na kuwaomba wafuasi wake wote wahamie kambi ya mkapa ili kujenga chama. Mimi ni mmoja wa waliokuwepo uwanjani hapo na vyombo vya habari vingi viliandika msimamo huu kwa hiyo Rostam Aziz kuonekana akiwa na kambi ya mkapa hakuwa amemsaliti yeyote kwani hata Jk aliingia hadhalani mikoa mbalimbali kumpigia kampeni mkapa na yeye Jk alimsaliti nani?
Samahani Mama Porojo,msome tena mtoa mada.hujamwelewa! Hayo tunayoyaona kwa macho ni makapi tu! Vitu viko nyuma ya pazia kufanya hayo yatokee!
 
Back
Top Bottom