He jamani,
tuweni na subira kidogo. Ninauhakika Kikwete anajua kinachoendelea na atafanya kazi pale uchunguzi utakapokamilika.
Sio kila jambo linalosemwa lina ukweli. Nchi lazima sheria ifuatwe ili amani iwepo. Kikwete atapanga timu mpya pale tu muda utakapotimia.
Asante
Subira hadi 2010 au 2015?
Kwa kukumbusha tu ni kuwa wakati anaingia madarakani walisema NO business as Usual, Atakayetuhumiwa kwa utendaji mbovu na hasahasa rushwa, hatutasubiri ushahidi kwani, tutampumzisha kwa maslahi ya umma.
Yako wapi sasa?