nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
MIMI NAJUA WAFANYA KAZI WA SERIKALI TAYARI WAMEGOMA, KILA MTU ANAKULA KAMKATE KAKE, hawawezi kuingia barabarani najua lakini tayari zaidi ya mwaka hakuna kazi , nikujilipa kila senti inayoingia kutoka Hazina, nakumbuka nami miaka ya Tisini nikiwa mtumisha wa Umma mshahara wangu ulikua 90800, . oooh bora nilikimbia, poleni waTanzania wenzangu.