Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
MAJIDI Hemedi Mwanga,mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa na mjumbe wa kamati ya maadili ulinzi na usalama ya mkoa wa Arusha na MRISHO GAMBO mjumbe wa baraza la vijana Taifa,Rais Kikwete amewateua kuwa wakuu wa wilaya wakitokea mkoa wa Arusha