Kikwete anavyotamba na mawaziri wanaotakiwa kujiuzuri nchi za nje

Hongera mama Salma! Kumbe unaruhusu vi-short chacess kutoa huduma, nina kidada changu disgne hiyo hiyo, ngoja nikiambie kiwe kinajipitishapitisha kwa mkulu, maisha magumu huenda tukapata mtaji mweee!!!

We koma Mie sio huyo mwalimu wa shule ya msingi..
 
Ngeleja yuko bungeni kaonekana kupitia TBC live kutoka bungeni hapo ilikuwa ni Nyerere International Airport sio Malawi nafikiri sina hakika hapo ni wakati Rais anaondoka kuelekea Malawi
 
We koma Mie sio huyo mwalimu wa shule ya msingi..

Unisamehe bure mama, jina na uhakika wa kututajia jina la ki-short chasess kilichompagawisha mkulu nilidhani wewe ni Salma wa WAAMA. Sintarudia tena unisamehe .
 
1.jpg


Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Blantyre ,Malawi leo jioni kuhushuria Mazishi ya Profesa Bingu wa Mutharika, aliyekuwa Rais wa Malawi., aliyefariki tarehe 5 April, 2012 Kufuatia matatizo ya Moyo. Rais Kikwete ni miongoni mwa Viongozi wakuu Saba kutoka nchi jirani na Malawi.​


Ukiona Rais haoni aibu kujianika na mawaziri ambao wana kashfa nzito katika utendaji licha ya kushinikizwa na Bunge la nchi ambalo ndiyo sauti ya wananchi hapo kuna tatizo.

hii picha ya kitambo sana!!! sio ya hivi karibuni!!
 
we nawewe acha ujinga wako si bendera ya taifa hiyo katika mavazi,wabongo bwana wangevaa bendera ya marekani usingekua na nongwa

Mkuu, punguza umajinuni na kuchamba kwingi... sijazungumzia bendera, nimezungumzia kumechisha.... ni valid question lingekosa maana endapo viongozi wengine wa serikali wangekua wamevaa pia rangi za bendera ya taifa

Huwezi kuniaminisha kwamba rais ki-kawaida tu anaweza kuwa karibu na mtu vile and comfortable vile huku akiwa si kiongozi mwenza, mlinzi au mwenyeji wake

Labda tu nikusaidie maana naona kama ni ujinga basi unao wewe na si ajabu ni wa kurithi tena kwa vizazi.... if you fail to ask simple questions, then count yourself as one of vegetables that always run around circles to fulfill others dreams

Ati "wabongo bwana".... we pimbi bibi au mbongo popo?? KEEP ON ENSLAVING YOUR MIND, THE BODY WILL FOLLOW!!!
 
Tatizo liko wapi? Bado ni viongozi wana mamlaka ya kiuongozi.
 
Hapo ni Kilimanjaro H, mlango wa mbele kabisa!

Acha umangimeza Mkuu, hapa ajenda imesanuka hatulizi mahala, tunauliza jina la huyu short chases waliyepagawishana na mkulu na kulazimika kila mmoja kushikilia eneo lake lililo maarumu kistali ni nani?
 
Nasubiri ujibiwe; inaonekana kama vile nguo alizovaa na zile alizovaa Kikwete zilinunuliwa siku na sehemu moja.
Vipi mazee? inakuwaje huyu janjaweed mbona hajibiwi swali lakeeee? kwani huyo shortie anakwaruza roho yangu pia!
 
1.jpg


Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Blantyre ,Malawi leo jioni kuhushuria Mazishi ya Profesa Bingu wa Mutharika, aliyekuwa Rais wa Malawi., aliyefariki tarehe 5 April, 2012 Kufuatia matatizo ya Moyo. Rais Kikwete ni miongoni mwa Viongozi wakuu Saba kutoka nchi jirani na Malawi.​


Ukiona Rais haoni aibu kujianika na mawaziri ambao wana kashfa nzito katika utendaji licha ya kushinikizwa na Bunge la nchi ambalo ndiyo sauti ya wananchi hapo kuna tatizo.

Yaani hapa ni kuwa kama walikaa pamoja kwenye ndege au gari......walikuwa wanapigana madole. matokeo yakw wanashuka binti ameloa ndo maana kaziba na mikono na mzee ya presidaa imetuna. Ngoma drooo.
 
Tatizo liko wapi? Bado ni viongozi wana mamlaka ya kiuongozi.

Thubutu mkuu, akijaribu kuongoza kihivyo kwa dada yangu nawezakumtegeshea sumu palepale anapochimbua, mkulu ajikute anawashwa mwili mzima kama Mwakyembe.
 
Katika hiyo picha Vasco Da Gama anaonekana anafurahia saana kutembea ktk carpet au barabara nzuri utadhani kwake keshamaliza kujenga. Jamaa huyu asipoangalia atakuja kufia safarini kwani hatulii kwake angalau ajue matatizo yanayowasibu wananchi wake!!!!!!!
 
Halafu, suruali inataka kumvuka nini, mbona kaibeba kwa mikono???
nadhan suruali inamvuka hiyo
nina was was atakua kaifungia kamba
aisee tumekwisha nchi hii
sura zao pia zinaonesha ni wezi kabisa..!
Mungu atusaidie maskin tanzania yangu...!
 
Back
Top Bottom