Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
<br />Hizi nukuu za uongo mtazijibu siku ya mwisho.
<br />
kama utaki basi andamana,sina chuki nae ukzngatia ni mwenyekt wangu wa chama.
<br />Hizi nukuu za uongo mtazijibu siku ya mwisho.
wewe unauliza uchaguzi upi ambao JK hakushinda? unamaanisha nani alishinda, slaa kwa kura za kaskazini na kanda ya ziwa tu? au lipumba na kanda ya kusini na pemba? kute huko walipowapigia kura wapinzani waligawana na JK na margin ya tofauti ilikuwa ndigo sana kati ya wagombea lakini wapinzani hawakukubalika sehemu yote ya Tanzania. na sehemu walizoshinda wapinzani mbona ziko wazi na shamrashamra uliziona. wake up man acha kumislead watu kuwa huyo slaa wako alishinda. Binafsi si mwanaccm na hawajawahi kupata kura yangu lakini nina uhakika wa 100% kuwa JK alishinda.
Naomba niwaeleweshe kidogo!.
Kila mwaka kuna mkutano wa UN mwezi wa tisa hivyo Kikwete anakuja USA kila mwezi wa tisa sasa balozi akawaomba dicota wachanganye mkutano na ubalozi ili badala ya kuwa mikutano miwili itakuwa mkutano mmoja!. Dicota wanafanya mkutano mmoja kila mwaka hivyo balozi akaomba wafanye mwezi wa tisa kwasababu viongozi wengi watakuwa hapa kwenye mkutano wa UN. Kwasababu mwaka huu ni miaka 50 ya Tanzania ndiyo maana wamekuja na hiyo ya miaka 50. Mimi binafsi sioni Tatizo hapa kwani Watanzania wengelipa pesa ya Kikwete kuja Marekani anyway. Vilevile sio vibaya kuongea na Watanzania