Anasema anaomba nimchague mabaya yote aliyofanya atayarekebisha vipi inamaana watu wote mmepigiwa simu? Nimepigiwa kwa namba hii:+255754777777
Anasema anaomba nimchague mabaya yote aliyofanya atayarekebisha vipi inamaana watu wote mmepigiwa simu? Nimepigiwa kwa namba hii:+255754777777
Kupigiwa simu mmeongea naye na wewe kumuuliza maswali yako au ni "robocall" yaani ni one way communication?
Kama mtanzania!
Nazani ni robocall baada ya kupokea simu nimeambiwa ongea na mhesimiwa nikaunganishwa akaanza kuongea kikwete ila hakupi nafasi ya kuuliza swali lolote baada ya kumaliza kuniomba nimpigie kura akasema asante kunisikiliza simu ikakatwa!
Nazani ni robocall baada ya kupokea simu nimeambiwa ongea na mhesimiwa nikaunganishwa akaanza kuongea kikwete ila hakupi nafasi ya kuuliza swali lolote baada ya kumaliza kuniomba nimpigie kura akasema asante kunisikiliza simu ikakatwa!
Hapati kitu hapa.
Hiyo ni typical JK phone number.
Zamani nilikuwa nayo 0787 77 77 77