Kikwete amteua Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo MUST

Wametoka mbali sana, 2005 baada ya kubaki kwenye tatu bora, Mwandosya, Salim na Kikwete Mh. Sumaye na wapambe wake walijitahidi sana kumsahawishi Mwandosya ajitoe ili waongeze Nguvu kwa Salim ili kumshinda JK, mwandosya aligoma

Washakuwa Ndugu wa Damu sasa!
 
Mwandosya ni msomi;
ni vizuri akatumie taaluma yake
kuliko kukaa kungojea warsha
 
Al Noor ni mkuu wa Chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA)

Al Noor Kassum aliwahi kuwa mbunge wa Dodoma mjini enzi hizo na alikuwa waziri wa Energy wakati huo huo Kikwete akiwa naibu wake na Mwandosya akiwa Commissioner wa nishati. Al Noor Kassum ni mzaliwa wa Dodoma na hivi sasa anaishi Mikocheni sehemu za pwani!!!
 
Mwandosya ni msomi;
ni vizuri akatumie taaluma yake
kuliko kukaa kungojea warsha
Lakini 'mkuu wa chuo' (Chancellor) ni ceremonial zaidi. Nadhani haina uhusiano sana na uprofesa wake na pengine hata utumia kwa maana ya kufundisha hapo MUST.
 
ok nimekuelewa mwaya.
Lakini 'mkuu wa chuo' (Chancellor) ni ceremonial zaidi. Nadhani haina uhusiano sana na uprofesa wake na pengine hata utumia kwa maana ya kufundisha hapo MUST.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kazi tatu tatu wakati kuna watanzania wenye sifa wengi hawapewi nafasi. Wanasiasa ndiyo sababu ya nchi hii kuwa masikini maana wanajirundikia madaraka. Utamu ni kuwa hivi vilemba vya ukoka hawaendi navyo mahali. Wamuulize Fulgence huko aliko kama hâta anavikumbuka zaidi ya kuzingatia maumivu matupu.
 
haya ndio madhara ya akili ya kukodi ref. ifweero

Nakubaliana na wewe maana ni tatizo Watanzania tunapenda kusifia watu as if ni miungu wadogo wakati wale wanaosifiwa wanabaki kuwa na cademic arrogance. Angalia Prof Shivji alivyosifiwa kuwa mjuzi wa sharia na sasa amefikia hatua ya kufikiri yeye ndiye anayejua kila kitu ktk ulingo wa siasa na sharia. Wanaofanya kinyume na anachotaka na kuamini anawaona kama hawajui kitu. Angalia anavyovuruga watu kuhusiana na utungwaji wa katiba mpya.

Na hii tabia ya kusifia wau imefanya wanaosifiwa kuzalisha wasomi wasiojiamini na waoga Ndio maana wasomi wa nchi za jirani ndio part of pressure groups kwenye mambo ya taifa lkn wa kwetu wamekaa mambo yanahaibika wanaibuka na habari za kufikirika.

Niachie hapa maana kwa hasira naweza kwenda nje y mada
 
Al Noor Kassum (born 11 January 1924) is retired Tanzanian politician. Educated in Tanzania and the UK, where he was called to the Bar at the Inns of Court in London, Al Noor Kassum was a prominent figure in Tanzanian politics and the Ismaili Muslim community after the country's independence. He held several ministerial positions within the Tanzanian government and was also the East African Community's Minister of Finance and Administration. He has held senior positions in UNESCO and at the UN Headquarters in New York. Currently, he is Vice-Chancellor of Sokoine University of Agriculture in Tanzania.[3]
 
Huyo mwandosya na mamvi yake hayo ameifanyia nn nchi. alipokuwa wizara ya maji miradi yote ya maji alikua anaipeleka kwao wakati kuna maeneo kame kibao watu na mifugo wanateseka.eti pro wa ukweli shen.y taip
Khaa!! Wewe vipi?? Amesema ni pro wa ukweli.
 
Hivi huwa wanalipwa kiasi gani hawa kina mkapa Mwinyi mwandosya na wengineo kwa kuwa wakuu wa vyuo?
 
Back
Top Bottom