mkongo
Member
- Nov 21, 2009
- 19
- 9
Tanzania haki iko wapi? Tutaiendekeza CCM mpaka lini?
Najumuika Ulingoni kuwaonyesha link yenye video ya yaliyotokea mwaka 1996 huko Bulyanhulu wakati wananchi walivyoondelewa kwa nguvu bila huruma na uvunjaji wa haki, tena nchini kwao kumbuka serikali yao walioiweka madarakani ndiyo waliofanya vitendo hivi.
Pia Rais wao Jakaya Mrisho Kikwete amewadanganya wakati wa kampeni... nasema NAMCHUKIA kwasababu ni Mnafiki.
Hata faida inayopatikana na machimbo haya haiwafaidishi wananchi hawa ni kwa viongozi wachache ambao wanapenda kujinunulia magari ya kifahari. kuishi maisha ya kifahari, kujilipa mishahara minono, wenye sifa ya umimi na sio mimi na wewe na yule. Jamani tuwaonee huruma asilimia kubwa ya wananchi vijiji wanaoishi kwa maisha ya tabu.
Asante kwa waliotengeneza video hii kutuonyesha yaliyotokea huko. Mimi binafsi nimesikitika sana na imenigusa.
Asante
[ame]http://vimeo.com/7690704[/ame]
Najumuika Ulingoni kuwaonyesha link yenye video ya yaliyotokea mwaka 1996 huko Bulyanhulu wakati wananchi walivyoondelewa kwa nguvu bila huruma na uvunjaji wa haki, tena nchini kwao kumbuka serikali yao walioiweka madarakani ndiyo waliofanya vitendo hivi.
Pia Rais wao Jakaya Mrisho Kikwete amewadanganya wakati wa kampeni... nasema NAMCHUKIA kwasababu ni Mnafiki.
Hata faida inayopatikana na machimbo haya haiwafaidishi wananchi hawa ni kwa viongozi wachache ambao wanapenda kujinunulia magari ya kifahari. kuishi maisha ya kifahari, kujilipa mishahara minono, wenye sifa ya umimi na sio mimi na wewe na yule. Jamani tuwaonee huruma asilimia kubwa ya wananchi vijiji wanaoishi kwa maisha ya tabu.
Asante kwa waliotengeneza video hii kutuonyesha yaliyotokea huko. Mimi binafsi nimesikitika sana na imenigusa.
Asante
[ame]http://vimeo.com/7690704[/ame]