trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Naona ajabu wakati mwingine hii nchi yetu. Ndiyo maana I swear I didn't like him 2005! I looked into his eyes and I knew the Presidency ni post kubwa sana kwake. Haikumfaa na bado haimfai! Ndiyo maana ombwe la uongozi wa serikali linaonekana hata na mtoto wa shule! Jinsi alivyompa Nape majukumu ya chama chake na anavyoyatekeleza.. Hafit kiuongozi.Yuko kama mlinzi wa nyumba.Kuna wanaompigia honi,afungue geti na kufunga. Ama kumtuma akakukununulie hata vocha!