Kikwete Akataa Balali Asiletwe!

mushi,

tuachane na siasa za common sense na twende na facts. Common sense inatutuma kuamini kuwa ubalozi wa marekani unafanya kila liwalo kumrudisha ballali ila tu wanasubiri maombi ya jk. Sasa nikuulize, mbona walikimbilia kusema kuwa wamemfutia ballali visa huku wakijua hiyo ni technicality ya kudanganya toto? Kitu alichofanyiwa ni kuwa kwa kupotedha wadhifa wake, ballali amepoteza diplomatic passport na privilege zote including going in and out of the us as a urt official. That's it.

Lakini, ubalozi huohuo haukusema kuwa ballali ana hadhi ya ukaazi wa kudumu (permanent residency) hivyo kupoteza kwake diplomatic passport, haimzuii kuingia na kutoka (au kuishi marekani). Au hata kama hakuwa nayo hiyo permanent residency, bado angeweza kuomba visa (kama mtu binafsi)na kuna nafasi kuwa angeipata (kwani hajashtakiwa rasmi na serikali). Hivyo basi, tuwe makini katika kushabikia mambo ili tusije tukaonekana kuwa kwa vile mzungu amesema jambo fulani, basi yeye ndio sahihi. As far as i am concerned, ubalozi wa marekani nao unacheza siasa (kwa namna kama ya serikali yetu na wala wasitake kutupia lawama serikali ya jk pekee. Kwa nini balozi green alipoulizwa mahali alipo ballali akayeyusha kwa kusema kuwa sheria za marekani hazimruhusu kusema nyendo za watu walioko nchini mwao? Wamarekani na law enforcement agencies zao kweli hawajui ballali alipo?
no!wame acknowledge kuwa yuko marekani!ila the exact location haiwezi kutolewa kwa ajili ya usalama wake!

Suala la pili la visa ama green card..

Hilo halina nguvu kwasababu serikali hizi mbili zina makubaliano ya kukabidhiana watuhumiwa regardless ya citizenshipi status yao!sijasema kuwa mzungu ndio yuko right zaidi..ila this time wao ndio wametuambia mahali balali alipo kabla hata ya rais wetu hajatueleza!huoni there's something hapo?
 
brother mushi taratibu mangi:kwanza msee wangu inabidi hilo swali lako nililolinukuu hapo juu inabidi ujiulize wewe mwenyewe. Wewe ndiye inabidi uzingatie what you are calling "siasa za common sense" and if that is the case then naamini kabisa utafika wakati wa kuwaomba wamerekani wamrudishe balali. Sasa kama kwako "common sense" ni kumleta sasa hivi, wakati criminal investigations into the matters is going on,then sawa.

kwa mfano ndugu yangu ikiwa kibaka kakukwapulia simu yako na aka kamatwa je ni "commonn sense" gani utaitumia; kumchakaza na kumchoma moto au "common sense" ya kumpeleka kituoni ambako possibility ya kuachiwa kwa sababu nyingi tu.

nilalosema ni kuwa ingawa mamilioni yamechotwa na wengi wetu pamoja na ndugu zetu tunasota, huku mafisadi wakitanua, ukweli ni kwamba sheria huwa siku zote inampendelea mkosaji hasa akiwa na uwezo. That is a reality of life and therefore ku-reverse that immediately lazima "common sense" unayoizungumzia tuitupilie mbali and replace it with anarchy/mob justice. In that case so long as audit report imeshasema kuwa kuna watu waliochota mabilioni, the wakusanywe, hata mahakamani kuwapeleka ni kupoteza muda, kwa vile wanaweza wakahonga, tuwafilsi mali zao zote na kuwafunga miaka 30 kazi nguumu na viboko 12 juu. Hiyo ndiyo "komoni sensi"?.
what? Common sense ni kumleta balali baada ya uchunguzi?

Ina maana ameshachunguzwa na kuhojiwa?na kama tayari..when didi it happen?

Common sense yako unayoizungumzia ni sawa tu na ile ninayoizungumzia..tofauti yetu ni kuwa wewe hauamini kuwa balali anahitajika kuhojiwa kabla hiyo ripoti haijatolewa!mimi naamini kuwa ni lazima balali ahojiwe,ni lazima meghji ahojiwe..mramba,mgonja..na wote waliowithdraw hizo pesa kuanzia hatua ya awali zilipokuwa huko kwenye akaunti ya madeni ya nje!
 
Where the hell u got this mandate of total ban? for ur inf Im here to stay and ur dealing with the beast u dont know!

ha aahaha ahaha ...vitisho vya mgambo hivyo akiwa anafukuzana na wauza gongo,havifanyi kazi hapa baba au na wewe ni usalama wa taifa... kwi kwi kwi kwi!
 
Where the hell u got this mandate of total ban? for ur inf Im here to stay and ur dealing with the beast u dont know!

Please dont contribute was a kind request.Hivyo vitisho JF si mahala pake. Arrogance ziwekwe pembeni. Hapa ni hoja kwa hoja. Calling yourself the beast indicates what kind of a person you are.
 
1.

anajikomba kwa nani? Mushi had all the right kusema rais amekataa kwa sababu balozi wa US hawezi kusema publicly kuwa rais wenu hataki, kwenye diplomatic language haikubaliki hiyo, Clinton, amesema Obama kushinda South Carolina, ni sawa na Jesse Jackson, alivyoshinda kwenye miaka ya 1884, na 1988, lakini akaishia kutopata nomination, lugha hii kisiasa dunia nzima imeamuliwa kuwa huyu ni racist na anajaribu kutumia race card, je is that exactly what he Clinton said? Je ingekuwa hapa JF Mushi ameamua kuwa hivyo dunia ilivyoamua ndivyo Clinton alivyosema, which is his right ingekuwaje?[/SIZE]

[/SIZE]

...waambie hao maana hawajui lugha za siasa ni very calculated na it takes yrs to master,labda walitaka wasikie balozi kasema JK kakataa balali asirudi ili wakubaliane na Mushi,politics is a game ndio maana politician ni wasanii sana maana huwa hakuna straight talk na kwao everything goes ili mradi mkubaliane naye tuu na hii sio Bush wala JK wote sawa tuu...its all about POWER!
 
Mugo?

Hukusema hiyo mkuu, duh! yaani kumkoma nyani mchana kweupee namna hii, hatari jamani hii JF tumeanza ku-attract ma-beast mwisho tutaingiliwa na mafisi sasa hivi!

Mugo and Koba, I love it tena mle tano ya nguvu!
 
Wazee hiki ni kipande cha hotuba ya Mh Rais kuhusiana na
uchunguzi wa Akaunti ya EPA
Ndugu Wananchi;
Jambo la tatu ambalo nimepanga kuliongelea leo ni hili suala la ukaguzi wa Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje na hatua zinazoendelea kuchukuliwa baada ya taarifa ya ukaguzi kutolewa.

Ndugu Watanzania wenzangu;
Kwa mara nyingine tena nawapongeza na kuwashukuru wakaguzi wa Kampuni ya Ernst and Young kwa kazi nzuri waliyoifanya na kutoa taarifa ya kina kuhusu matatizo yahusuyo matumizi ya fedha za Akaunti hiyo. Nawashukuru pia Watanzania wenzangu kwa kuunga mkono hatua tulizochukua na tunazoendelea kuchukua kuhusu suala la Benki Kuu. Hata hivyo, nasikitishwa na taarifa ninazozipata kuhusu kuwepo uvumi mwingi unaoenezwa na baadhi yetu kuhusu suala hili. Baadhi ya uvumi huo umekuwa unapotosha ukweli na kuwachanganya wananchi. Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba wanaoeneza uvumi na uongo kuacha kufanya hivyo. Aidha, nawasihi wananchi wawe watulivu na wavumilivu.
Napenda kuwahakikishia kuwa, Serikali inayo dhamira ya dhati ya kulifuatilia suala hili mpaka mwisho wake ujulikane. Mwisho ambao utakuwa na maslahi kwa taifa letu. Pamoja na yote yatakayofanywa, tunataka kuhakikisha kuwa fedha zilizolipwa kinyume cha utaratibu zinarudishwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wenzake, yaani Mkuu wa Jeshi la Polisi na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU wameanza kuchukua hatua. Nimewataka watoe taarifa kwa wananchi mara kwa mara kadri inavyowezekana pamoja na haja ya kuwa waangalifu kutokutoa mengi yahusuyo uchunguzi wanaoufanya ili ushahidi usiharibike.
Nawaomba Watanzania wenzangu tuwe na subira. Naamini kazi hii itakamilika ndani ya kipindi cha miezi sita tuliyowapa. Napenda kurudia ombi la Serikali kwa wananchi wenye taarifa zitakazosaidia katika uchunguzi na hatua katika suala hili waisaidie kamati yetu
 
Uchunguzi wa Akaunti ya EPA
Ndugu Wananchi;
Jambo la tatu ambalo nimepanga kuliongelea leo ni hili suala la ukaguzi wa Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje na hatua zinazoendelea kuchukuliwa baada ya taarifa ya ukaguzi kutolewa.

Ndugu Watanzania wenzangu;
Kwa mara nyingine tena nawapongeza na kuwashukuru wakaguzi wa Kampuni ya Ernst and Young kwa kazi nzuri waliyoifanya na kutoa taarifa ya kina kuhusu matatizo yahusuyo matumizi ya fedha za Akaunti hiyo. Nawashukuru pia Watanzania wenzangu kwa kuunga mkono hatua tulizochukua na tunazoendelea kuchukua kuhusu suala la Benki Kuu. Hata hivyo, nasikitishwa na taarifa ninazozipata kuhusu kuwepo uvumi mwingi unaoenezwa na baadhi yetu kuhusu suala hili. Baadhi ya uvumi huo umekuwa unapotosha ukweli na kuwachanganya wananchi. Napenda kutumia nafasi hii kuwaomba wanaoeneza uvumi na uongo kuacha kufanya hivyo. Aidha, nawasihi wananchi wawe watulivu na wavumilivu.
Napenda kuwahakikishia kuwa, Serikali inayo dhamira ya dhati ya kulifuatilia suala hili mpaka mwisho wake ujulikane. Mwisho ambao utakuwa na maslahi kwa taifa letu. Pamoja na yote yatakayofanywa, tunataka kuhakikisha kuwa fedha zilizolipwa kinyume cha utaratibu zinarudishwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wenzake, yaani Mkuu wa Jeshi la Polisi na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU wameanza kuchukua hatua. Nimewataka watoe taarifa kwa wananchi mara kwa mara kadri inavyowezekana pamoja na haja ya kuwa waangalifu kutokutoa mengi yahusuyo uchunguzi wanaoufanya ili ushahidi usiharibike.
Nawaomba Watanzania wenzangu tuwe na subira. Naamini kazi hii itakamilika ndani ya kipindi cha miezi sita tuliyowapa. Napenda kurudia ombi la Serikali kwa wananchi wenye taarifa zitakazosaidia katika uchunguzi na hatua katika suala hili waisaidie kamati yetu
Waungwana;

Hapo juu ni kipande cha hotuba ya Mh Rais kuhusiana na hoja hii tunayoijadili hapa!

La kushangaza ni kwamba bado hakutaka kutueleza kama Balali anahitajika kwenye mahojiano ya kusaidia kutoa taarifa itakayopelekea watuhumiwa wote kutiwa nguvuni!

Hili suala la kusema wananchi wapeleke taarifa kwakweli linatia kichefuchefu!Mi naona wananjaribu kufuatilia ili kuona issue ili "leak" wapi!

Wanatafuta wachawi ili washughulikiwe!Wanataka kuchunguza habari zilivuja vipi!Watu walioidhinisha hayo malipo ndio wakuhojiwa kuwa walipewa order za kuidhinisha hayo malipo na nani!Usije kushangaa wakamkamata Dk Slaa kabla ya Balali!

Ndugu waungwana;

Mh Rais anajua kila kitu!

Ni fursa yetu kumtia moyo ili aamue kuchukua maamuzi magumu!ambayo ni kwa maslahi ya taifa letu!

Ni fursa yetu watanzania kumweleza Mh Rais kwamba watu wote walioonekana kwenye mtiririko wa kuruhusu utoaji na matumizi ya fedha hizo kujiuzulu na kuanza kuhojiwa na hiyo kamati yake!

Ni wazi kabisa kabla hata ya kuwachunguza hao watu waliohusika kama ni mafisadi ama la..wafukuzwe kwanza kazi kwasababu wamekiuka maadili na miiko ya taaluma zao!

Wengi wao watajitetea kuwa tulipokea barua,ama simu kutoka kwa mheshimiwa flani..hivyo tukabidi tuidhinishe malipo!

Wotu kama hao tutawasamehe lakini walitakiwa wawe nje ya kazi zao kitambo tu kwasababu wameshakiuka miiko na maadili ya kazi zao!

Lakini wale walioandika barua za kuidhinisha huo uozo ndio wanaotakiwa kuhojiwa..tena kabla ya wananchi!

Kwanza si tu kuhojiwa..bali kufunguliw mashtaka!UCHUNGUZI GANI HUU UNAFANYIKA?

AKAUNTI INASEMA "MADENI YA NJE"KWA HIYO UTOAJI WA PESA KUTOKA KWENYE AKAUNTI HII NI LAZIMA UWE NA MINAJILI HIYO NA SI VINGINEVYO!

SASA HAO WALIOIDHINISHA HAYO MALIPO SI NDIO WENYE TAARIFA NZURI ZAIDI KULIKO WALIZONAZO WANANCHI!WANA JF TUELEZANE HAPA..
 
WHAT?COMMON SENSE NI KUMLETA BALALI BAADA YA UCHUNGUZI?INA MAANA AMESHACHUNGUZWA NA KUHOJIWA?NA KAMA TAYARI..WHEN DIDI IT HAPPEN?COMMON SENSE YAKO UNAYOIZUNGUMZIA NI SAWA TU NA ILE NINAYOIZUNGUMZIA..TOFAUTI YETU NI KUWA WEWE HAUAMINI KUWA BALALI ANAHITAJIKA KUHOJIWA KABLA HIYO RIPOTI HAIJATOLEWA!MIMI NAAMINI KUWA NI LAZIMA BALALI AHOJIWE,NI LAZIMA MEGHJI AHOJIWE..MRAMBA,MGONJA..NA WOTE WALIOWITHDRAW HIZO PESA KUANZIA HATUA YA AWALI ZILIPOKUWA HUKO KWENYE AKAUNTI YA MADENI YA NJE!


Mangi Mushi samahani; sikuelewi unaposema "tunachozungumzia ni sawa ila tofati yetu ni kuwa mimi siamini kuwa Balali anahitajika kuhojiwa .... Where do you get that from? au ni inference yako, of course kama ni interpretation yako, rukhsa. Lakini to make the record straight mimi ni mmmoja ya wale ambao nimekuwa naeleza wazi kuwa hiyo listi ya mafisadi iwe accountable kwa wizi na hata uzembe wao.

Ninacho sisitiza ni kuwa DO NOT expect any politician (especially the corrupt ones) to act sensibly and use common sense ama sivyo hatakuwa mwana siasa. So it is a waste of time to even try to make them see that, kwa vile they deliberately ignore common sense.
 
Mangi Mushi samahani; sikuelewi unaposema "tunachozungumzia ni sawa ila tofati yetu ni kuwa mimi siamini kuwa Balali anahitajika kuhojiwa .... Where do you get that from? au ni inference yako, of course kama ni interpretation yako, rukhsa. Lakini to make the record straight mimi ni mmmoja ya wale ambao nimekuwa naeleza wazi kuwa hiyo listi ya mafisadi iwe accountable kwa wizi na hata uzembe wao.

Ninacho sisitiza ni kuwa DO NOT expect any politician (especially the corrupt ones) to act sensibly and use common sense ama sivyo hatakuwa mwana siasa. So it is a waste of time to even try to make them see that, kwa vile they deliberately ignore common sense.
Suala la wewe kusema kuwa Kikwete hajafanya kosa pale anapokataa kumleta Balali ndio mahali tunapopingana!
 
Suala la wewe kusema kuwa Kikwete hajafanya kosa pale anapokataa kumleta Balali ndio mahali tunapopingana!

Kwako kutomleta Balali wakati huu ni kosa - unayo haki ya kuliona hivyo and I respect it, kwa JK ni "utendaji makini" - do I agree with it NO, do I respect his opinion yes, kwangu mimi - sitegemei lolote toka kwa mwizi kumkamata mwenziwe! Hawezi kumleta leo wala hatamleta kamwe!

Let us move on Mangi, kutokubaliana kimawazo na kuelewana wakati huo huo ni maturity.
 
kwako kutomleta balali wakati huu ni kosa - unayo haki ya kuliona hivyo and i respect it, kwa jk ni "utendaji makini" - do i agree with it no, do i respect his opinion yes, kwangu mimi - sitegemei lolote toka kwa mwizi kumkamata mwenziwe! Hawezi kumleta leo wala hatamleta kamwe!

let us move on mangi, kutokubaliana kimawazo na kuelewana wakati huo huo ni maturity.
nguvu ya umma itatumika!hakuna cha kutokubaliana kimawazo blah blah!

Hii issue ni nyeti..we unaizungumzia kama vile ni porojo za kijiweni!lets move on?!

Lets move on where?how can we move on without seeing the 133 billionsa plus justice?

Wizi mkubwa wa mali ya umma umetokea halafu unaniambia kutofautiana kimawazo na sijui eti mwizi amkamate mwenzake!are you kidding?

Tutakamata wote sisi wananchi!tutaandamana,tutaishinikiza serikali isituone sisi ni pumbavu!hivi ni vita dhidi ya ufisadi..na kizazi chetu na kijacho ni lazima kijue kuwa tulipigana vita dhidi ya ufisadi na kushinda vita hivyo!

Eti "utendaji makini"utendaji makini ni kuhakikisha kuwa wale wote ambao walionekana kwenye ripoti ya ernest & young kuwa walikiuka maadili ya kitaaluma ndio kwanza wakamatwe..

Then wahojiwe na hiyo kamati yake!kikwete anajua kila kitu!alikuwa anajua hakutuambia!

Mpaka slaa kaja katuambia..umakini uko wapi hapo?yani hakutuambia kuhusu huo wizi,siri ikajulikana ndio atatuambia namna ya kufanya uchunguzi?

Amchunguze nani?ajichunguze yeye mwenewe?

No porojo..this time justice must prevail! Eti lets move on..move on with what!

The better way to move on is to bring back the money!huwezi kuamini kuna wazalendo halisi wenye kujitoa mhanga kwa ajili ya nchi yao!
 
Huku kwa JF naona kuna longo longo kibao. Kwanza mwambieni huyu balozi aache kiherehere. Anajikomba kwa nani? Mara tumemfutia visa, mara tutarudisha fedha alizoiba, mara hatujaombwa tumrudishe, longo longo za nini? Serikali inachunguza, uchunguzi haujakamilika. Balali kaachishwa kazi kupisha uchunguzi. Nani kasema kuwa Balali ni mtuhumiwa?
 
Huku kwa JF naona kuna longo longo kibao. Kwanza mwambieni huyu balozi aache kiherehere. Anajikomba kwa nani? Mara tumemfutia visa, mara tutarudisha fedha alizoiba, mara hatujaombwa tumrudishe, longo longo za nini? Serikali inachunguza, uchunguzi haujakamilika. Balali kaachishwa kazi kupisha uchunguzi. Nani kasema kuwa Balali ni mtuhumiwa?
BALALI SIO KWAMBA TU NI MTUHUMIWA!BALI NI MTUHUMIWA WA KWANZA!

SASA KAMA HAOJIWI SI INA MAANA YEYE NDO ANAOGOPWA?ETI KAACHISHWA KAZI ILI KUPISHA UCHUNGUZI!?

UCHUNGUZI WA KUMCHUNGUZA NANI ZAIDI YAKE YEYE MTUHUMIWA WA KWANZA AMBAYE NDO KWANZA KAACHISHWA KAZI?

NA PIA UTAMCHUNGUZA VIPI MTUHUMIWA BILA KUMHOJI?

YEYE NDIYE ANAYEJUA KILA KITU!NA MH RAIS NAYE ANAJUA KILA KITU..LAKINI TUNAMUOMBA ACHUKUE MAAMUZI YA KISHUJAA!KWANI KIZAZI HIKI NA PIA VIZAZI VIJAVYO VITAMKUMBUKA KWA MAAMUZI YAKE MAGUMU ATAKAYO CHUKUA!MAAMUZI YA KIZALENDO..

KWAMBA ALIKUWA UPANDE WA WANANCHI KATIKA VITA DHIDI YA UFISADI!NA KWAMBA YEYE AKIWA KAMA KIONGOZI NA JEMEDARI WA NCHI HII,KWA KUSAIDIANA NA WANANCHI WAKE WALIVISHINDA VITA HIVYO DHIDI YA UFISADI!NI JUU YAKE KUAMUA KUMLETA BALALI AMA LA!

KAMA VILE ILIVOKUWA JUU YAKE KUMFUKUZA KAZI!PAMOJA NA KWAMBA AMECHUKUA HATUA YA KUUNDA HIYO KAMATI YA UCHUNGUZI..

BADO AMEKWEPA KUCHUKUA MAAMUZI AMBAYO SISI WANANCHI TUNADIRIKI KUFIKIRI KWAMBA HAYUKO UPANDE WETU KWENYE VITA HIVI VYA UFISADI!

NI WAZI KAMA ANGEKUWA UPANDE WETU SISI WANANCHI ANGEMLETA BALALI,ANGEMWACHISHA KAZI MEGHJI.AMA KUMUOMBA AJIUZULU!ANGEMUOMBA PIA ATOE USHIRIKIANO KWENYE HIYO KAMATI YA UCHUNGUZI!

KWA NINI INAONEKANA KWAMBA NI BUSINESS AS USUAL WAKATI KUNA UHUJUMU UMETOKEA KWENYE TAIFA LETU?HII NI ISSUE TOSHA YA KUIWEKA NCHI KWENYE HALI YA TAHADHARI!

THIS IS SOMETHING BIG!ETI HAYO MAKAMPUNI YA UFISADI YAHAKIKISHWE YANALIPA KODI!

MIMI NAFIKIRI KIKWETE KAMA ANASHINDWA KUDILI NA HII ISSUE KWA KUEGEMEA UPANDE WA WANANCHI..THEN AJIUZULU!WATU WA KUCHUNGUZWA NI WALE WOTE WALIOIDHINISHA MALIPO KIMNYUME NA MAADILI NA UTARATIBU..

WALIOKUWA WAKIJUA WAZI KUWA PESA HAZIENDI KULIPA MADENI YA NJE BALI MATUMBO YA MAFISADI!WALIKIUKA MAADILI YAO..HATUA YA KWANZA NU KUJIUZULU AMA KUFUTWA KAZI!HUKU WAKIHOJIWA KUWA NI NANI ALIWAAMBIA WAIDHINISHE HUO UOZO NA UJAMBAZI!

HIYO NDIYO COMMON SENSE!SASA WANANCHI WAHOJIWE ILI IWEJE? VIPI KUHUSU BALALI MWENYEWE!

Balali alipozitoa huko benki kuu..kuna watu aliwapa..na kuna watu waliandika barua za kuidhinisha kwa sababu ni wazi kuwa pesa zilikuwa zinaibiwa!sasa hao waheshmiwa wako wapi?hao si ndio wana information za kutosha?longo longo za nini?
 
ha aahaha ahaha ...vitisho vya mgambo hivyo akiwa anafukuzana na wauza gongo,havifanyi kazi hapa baba au na wewe ni usalama wa taifa... kwi kwi kwi kwi!

Wasiwasi wako ndio maradhi yako...
 
poa, muradi mkono unaenda kinywani!
ufisadi unaendana na ubinafsi!

Yani kuweza kupata chakula ni sababu nzuri kwako kubetray wananchi wenzako wakati wengine ndio wana mabilioni!historia ya nchi yetu haitawasahau manyapara kama wewe ambao wanafanya kazi kwa niaba ya mafisadi!vizazi vijavyo vitakusoma kwenye historia ya nchi yetu!

Haya majadiliano yatakuwepo..na wewe utakuwa upande ambao was rendered powerless..upande ambao ulikuwa defeated na wazalendo na wale wote waliojitolea muhanga kwenye vita hivi!na hii ni kwa wazalendo wote;"we will be victorious"god willing!
 
Waungwana mnaweza kuona kwamba Mh Rais anajua this time wananchi wanakomaa nao!Ni wazi kwamba presha anaisikia!Ni wajibu wake kama yuko honest..asimame upande wa haki!Kama alivyofanya Mh Lowassa bila kujali madhara yake kwake binafsi!
 
Back
Top Bottom