Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,368
Mnakumbuka kung'aka ndo zake?Kwa kweli tukio la mkulu kung'aka ni kusikitisha na hii inaonyesha ni jinsi gani asivyopenda kudelegate minor issues kama hii. Aidha ilipaswa awe well informed na wasaiduzi wake kabla ya kwenye hiyo hafla. It is ridiculous..!
Alipotembelea Richmond wakati ule,
alikuta hata mitambo haijafungwa...
akasema huu ndo Us***e nisioutaka!!!