UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,734
2010 - b
2011 - c
2012 - d
2013 - e
2014 - ...................................
2011 - c
2012 - d
2013 - e
2014 - ...................................
Kama matokeo yenye kwa nchi zingine za Africa ndo haya, basi Tanzania imejitahidi sana. Kwa Africa Mashariki imeburuza nchi zote kasoro Kenya ndo wametupita kidogo. Hizo nyingine za Africa ndo hohehahe totally, has huo upande wa kulia....
Ndugu yangu Gold Addict mtu mwenye akili timamu haitaji Takwimu kujua kuwa Kikwete Ameshindwa Kutawala Nchi hii, Kuna watu wanafikira kama Masaburi alivyosema kwa wabunge wa Dar--Ati juzi Kikwete kazoa wanachama zaidi ya 1800 Mwanza?? What the Hell is Wrong with Tanzanians Thinking Capacity???Kufuatia tafiti iliyofanywa na gazeti lisilo fungamana na upande wowote la East African 06/02/2012 kuhusu ubora wa marais wa Africa,Kikwete ameambulia grade C.Utafiti huo ulizingatia vigezo vifuatavyo;
http://www.theeastafrican.co.ke/pag...434746/-/view/asSearch/-/10p3vw1/-/index.html
sasa hiyo C kwanini wamempa? why not A+?
aaaaaah! sikutegemea jibu kama hili toka kwakoKuteleza si kuanguka, aliyeanguka humjuwi?
Ndugu yangu Gold Addict mtu mwenye akili timamu haitaji Takwimu kujua kuwa Kikwete Ameshindwa Kutawala Nchi hii, Kuna watu wanafikira kama Masaburi alivyosema kwa wabunge wa Dar--Ati juzi Kikwete kazoa wanachama zaidi ya 1800 Mwanza?? What the Hell is Wrong with Tanzanians Thinking Capacity???
Imechakachuliwa sana eti JK kamfunika Kagame,au mwenyekiti wa hiyo tume atakuwa Judge lewis Makame na msaidiz wake atakuwa Rajab kiravu!!!
Kufuatia tafiti iliyofanywa na gazeti lisilo fungamana na upande wowote la East African 06/02/2012 kuhusu ubora wa marais wa Africa,Kikwete ameambulia grade C.Utafiti huo ulizingatia vigezo vifuatavyo;
Mo Ibrahim- 15%
Democracy Index-15%
Corruption Index-15%
human development Index-5%
NMG political Index-15%
Kwa vigezo hivyo hapo,grade zilikuwa kama ifuatavyo:
100-70:A
70-60:B
60-50:C
50-45
45-40:F
40-30:Intensive Care Unit(ICU)
30-0:morgue
Kwa habari zaidi ingia humu
The East African: Understanding The Region*- Magazine
huko botswana,capeverde,mauritius kuna nini vya ajabu?
unajilinganisha na nchi gani vile?? lolkajitahidi sana ukilinganisha na Zimbabwe. Tuache unafiki na tumpongeze.