Gold Addict
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 150
- 42
Kufuatia tafiti iliyofanywa na gazeti lisilo fungamana na upande wowote la East African 06/02/2012 kuhusu ubora wa marais wa Africa,Kikwete ameambulia grade C.Utafiti huo ulizingatia vigezo vifuatavyo;
Mo Ibrahim- 15%
Democracy Index-15%
Corruption Index-15%
human development Index-5%
NMG political Index-15%
Kwa vigezo hivyo hapo,grade zilikuwa kama ifuatavyo:
100-70:A
70-60:B
60-50:C
50-45
45-40:F
40-30:Intensive Care Unit(ICU)
30-0:morgue
Kwa habari zaidi ingia humu
The East African: Understanding The Region*- Magazine
Mo Ibrahim- 15%
Democracy Index-15%
Corruption Index-15%
human development Index-5%
NMG political Index-15%
Kwa vigezo hivyo hapo,grade zilikuwa kama ifuatavyo:
100-70:A
70-60:B
60-50:C
50-45
45-40:F
40-30:Intensive Care Unit(ICU)
30-0:morgue
Kwa habari zaidi ingia humu
The East African: Understanding The Region*- Magazine